nzagambadume
JF-Expert Member
- Apr 9, 2018
- 2,430
- 5,779
Pole sana mzee wa liquid, wewe hauna madhara kwa mtu yoyote yule. Kila mtu anajua hauna shida na mtu maskini all you do is to make us laugh kumbe UMAARUFU wako kuna WARUGARUGA UNAWAUMA SANA haswa baada ya kununua gari wakati wengine walitumia hadi mabavu kuwasweka watu ndani kuwabambikia kesi na kuchukua mandinga yao.
Waliokuwa wanasema Pierre liquid issue ni kama ya Dr shika mtaamini sasa kwamba ni tofauti kabisa, Shika na wengine wanaotumikaga ku divert attention kwenye mambo mazito hawajawahi kuwa LAMBASTED na kamati ya roho mbaya sababu walikuwa kwa kazi maalumu.
Kwa aliyeangalia ugeni wa taifa stars majuzi ikulu pale makamu wa Rais alipomsifia konki liquid na kusema hakufurahia mambo ya Bashite ya ofa za pombe unaona kabisa kuna watu walinuna. Kesho yake le mtumboz akaandika makala kubwa ya le akilizi kubwa kumkandia Pierre na kumuita wa hovyohovyo maneno yaliyorudiwa jana na Bashite.
Cha kusikitisha Shilole naye kashiriki kumuita eti hana akili. Hata wewe mamaaaa uliyeshea mkuyenge wa yule msanii na binti yako mkubwa? Wewe unayedaiwa kubakwa front and back kwenye fiesta tour ukiwa umelewa chakari hadi ukajichafua UANI?
Piere kuwa makini tu, kamati ya roho mbaya ni hatari hiyo. Kwenye pombe ukienda chooni nenda na kinywaji chako kabisa na ukiona Noah nyeusi kimbia kimbiaaaa.
Kwenu nyie tena wakolomije, issue za watu kama kina Piere zipo dunia nzima, huwa hawadumu hao. Let him enjoy his moment jamani. Walishatokea akina githeri man wa Kenya au Hot Felon wa USA n.k
Waliokuwa wanasema Pierre liquid issue ni kama ya Dr shika mtaamini sasa kwamba ni tofauti kabisa, Shika na wengine wanaotumikaga ku divert attention kwenye mambo mazito hawajawahi kuwa LAMBASTED na kamati ya roho mbaya sababu walikuwa kwa kazi maalumu.
Kwa aliyeangalia ugeni wa taifa stars majuzi ikulu pale makamu wa Rais alipomsifia konki liquid na kusema hakufurahia mambo ya Bashite ya ofa za pombe unaona kabisa kuna watu walinuna. Kesho yake le mtumboz akaandika makala kubwa ya le akilizi kubwa kumkandia Pierre na kumuita wa hovyohovyo maneno yaliyorudiwa jana na Bashite.
Cha kusikitisha Shilole naye kashiriki kumuita eti hana akili. Hata wewe mamaaaa uliyeshea mkuyenge wa yule msanii na binti yako mkubwa? Wewe unayedaiwa kubakwa front and back kwenye fiesta tour ukiwa umelewa chakari hadi ukajichafua UANI?
Piere kuwa makini tu, kamati ya roho mbaya ni hatari hiyo. Kwenye pombe ukienda chooni nenda na kinywaji chako kabisa na ukiona Noah nyeusi kimbia kimbiaaaa.
Kwenu nyie tena wakolomije, issue za watu kama kina Piere zipo dunia nzima, huwa hawadumu hao. Let him enjoy his moment jamani. Walishatokea akina githeri man wa Kenya au Hot Felon wa USA n.k