Salamu wakuu!
Sio kila siku maisha magumu. Leo nipo hapa kurahisisha maisha ya watu, japo kwa kiasi kidogo cha vocha au bucket ya bia.
Jitokeze, jishindie, furahia wikendi.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Ncha Kali.[emoji1614][emoji276]
Hee, basi aisee kumbe nilijichanganya hii siku dah.!
aaaah sawa ngoja tusubiri shindano lijaloLa hasha! Anadhamini shindano, anaingia kwenye bodi ya wakurugenzi.
aaaah sawa ngoja tusubiri shindano lijaloLa hasha! Anadhamini shindano, anaingia kwenye bodi ya wakurugenzi.
sasa elfu 10 yangu vipi?[emoji736][emoji1666][emoji1490]
Hapo ulipo ikitajwa elfu 10 unaitikaSalamu wakuu!
Sio kila siku maisha magumu. Leo nipo hapa kurahisisha maisha ya watu, japo kwa kiasi kidogo cha vocha au bucket ya bia.
Jitokeze, jishindie, furahia wikendi.
Vigezo na masharti kuzingatiwa.
Ncha Kali.[emoji1614][emoji276]
tunakusubiriNaam, mimi hapa.!