Lissu jr94
Member
- May 21, 2021
- 53
- 45
[emoji3][emoji3][emoji3] na tusiotumia je?Tunyweni bia
Wenyewe naonahakuna update yoyote kwenye insta page yao wala websiteWao wenyewe wanasemaje
Lieni tu[emoji3][emoji3][emoji3] na tusiotumia je??
Vipi mkuu, uli 'past pet'?Habari wana jf...naomba kuwauliza, hivi TARURA walitoaga shindano la kutengeneza logo yao, je walishapata mshindi na je imeshaanza kutumika logo mpya kwa anaejua?
Yes , I didVipi mkuu, uli 'past pet'?
Walitakiwa kuwapa feed back. Huo ndio uungwana.Yes , I did
HawajatoaWalitakiwa kuwapa feed back. Huo ndio uungwana.
Cha kushangaza kuna mwanafamilia wangu kaniambia alipita dodoma akaona bango la tarura lina logo kama yanguHawajatoa
Inawezekana...bongo hii upigaji mwingi!!!Au wameipenda moja ya mtu hapo na mwisho wa siku wakaibeba bila ya kutangaza?