kutokana na club ya Arsenal kila mwaka kuwa washiriki kwenye EPL, na kutumia muda mwingi kuuza sura kwenye social media, nadhani huu ni muda muafaka kwa wabunifu kuanzisha shindano la selfie mitaoni, na uhakika 90% wachezaji wa arsenal watatwaa ubingwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.