Shinyanga: Aliyetuhumiwa kumbaka na kumpa mimba mwanaye wa kambo atoroka baada ya kupewa dhamana

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
Kanda ya ziwa, kumeibuka ubakaji wa watoto wa kike. Hali hii imekidhiri na ina usiri mkubwa na serikali ngazi mkoa, wilaya na kata zimepiga kimya. Rais sikiliza habari hii hapo ni shinyanga mjini, huko vijijini Hali Sio shwari

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…