Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwabheja!Shinyanga hatujaachwa nyuma na Matamasha. Arusha jipangeni
Tamasha hili la baiskeli hata mmi nitashirikiShinyanga hatujaachwa nyuma na Matamasha. Arusha jipangeni
Ghashi chene namala?!Tamasha hili la baiskeli hata mmi nitashiriki
P
hadi bashite ahamishiwe kule ndo ataweza. mtu mwingine akitaka kufanya hiyo event bashita atafanya figisu tu ili asiwepo mwingine wa kufanikiwa afanane naye. mark my words.Shinyanga hatujaachwa nyuma na Matamasha. Arusha jipangeni
Kulipia kodi kitu kinachoenda kutumika kama rushwa ni sawa na ikawa sawa basi hata wale jamaa wanaolima mmea kule tarime walipie kodi ili wawe huru kwenye mazao yao ktk kulima hadi kuuza.Kwani kuna ubaya gani, kuleta contena 50 hata 100 za kitu chochote halali kwa madhumuni yoyote, as long as mzigo huo umelipiwa kodi husika na stahiki, na kwa taarifa tuu, hata zawadi au msaada lazima ulipiwe kodi stahiki。
P
Paschal mmeanza kuhalalisha Rushwa wazi wazi tunakoelekea siyo kuzuri.Kwani kuna ubaya gani, kuleta contena 50 hata 100 za kitu chochote halali kwa madhumuni yoyote, as long as mzigo huo umelipiwa kodi husika na stahiki, na kwa taarifa tuu, hata zawadi au msaada lazima ulipiwe kodi stahiki。
P
Nasisitiza hakuna ubaya wowote kwa mtu yoyote kuleta makontena ya bidhaa zozote halali kwa matumizi yoyote, as long as bidhaa hizo zimelipiwa kodi stahiki。Ule mmea kwa Tanzania sio bidhaa halali。Kulipia kodi kitu kinachoenda kutumika kama rushwa ni sawa na ikawa sawa basi hata wale jamaa wanaolima mmea kule tarime walipie kodi ili wawe huru kwenye mazao yao ktk kulima hadi kuuza.
Kikubwa kodi tu.
Ndiyo baiskeli laki 3 zilizoandikwa Samia 2025 kazi iendelee?Shinyanga hatujaachwa nyuma na Matamasha. Arusha jipangeni