You gonna join as he has done!!ameunga juhudi, tumshukuru mungu.
Ni wa chama gani?
Mkuu huoni hilo lishati la kijani ? mwendazake huyo amemfuata mwenyekiti wakeNi wa chama gani?
RIP
Wezi wa kura wanapukutika mdogo mdogo kudadadeqTANZIA: MEYA WA MANISPAA YA SHINYANGA AFARIKI DUNIA.
Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila(CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Agosti 23,2021 saa 11 alfajiri wakati akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi jirani na Kanisa la Moravian
R.I.P Nkulila
Chanzo cha habari ni Kahama FM
View attachment 1904473
Kwani wezi wa kura wanatokea chama gani?Ni wa chama gani?
RIP
Rip David.TANZIA: MEYA WA MANISPAA YA SHINYANGA AFARIKI DUNIA.
Mstahiki Meya wa Manispaa 1ya Shinyanga David Mathew Nkulila ambaye ni Diwani kata ya Ndembezi David Nkulila(CCM), amefariki dunia usiku wa kuamkia leo Jumatatu Agosti 23,2021 saa 11 alfajiri wakati akiendelea kupatiwa matibabu kutokana na kuugua kwa muda mrefu.
Msiba upo nyumbani kwake mtaa wa Mabambasi kata ya Ndembezi jirani na Kanisa la Moravian
R.I.P Nkulila
Chanzo cha habari ni Kahama FM
View attachment 1904473