KERO Shinyanga DC: Siku ya tatu umeme haujarudishwa Didia, kwenye nyumba ya Yoyo baada ya gari la mnadani kukata nyaya za umeme

KERO Shinyanga DC: Siku ya tatu umeme haujarudishwa Didia, kwenye nyumba ya Yoyo baada ya gari la mnadani kukata nyaya za umeme

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

bahatibahati

Member
Joined
Jul 4, 2023
Posts
44
Reaction score
84
Hii imetokea Kijiji Cha DIDIA wilaya ya SHINYANGA DC ambapo ni SIKU ya Tano tangu ilipotokea dharura ya kugongwa na gari nyaya za umeme zinazokatisha barabarani.

Kutokana na CHANGAMOTO hiyo tangu tarehe 3/5/2024 hadi 7/5/2024 bado umeme haujaunganishwa KATIKA nyumba hiyo na zaidi wametoa masharti kwamba wapangaji wafyeke mti uliokaribu na nyumba hiyo Ili nyaya zipande juu zaidi na wametekeleza lakini hadi Sasa hawajarudisha umeme wakitaka RUSHWA.
 
Hii imetokea Kijiji Cha DIDIA wilaya ya SHINYANGA DC ambapo ni SIKU ya Tano tangu ilipotokea dharura ya kugongwa na gari nyaya za umeme zinazokatisha barabarani.

Kutokana na CHANGAMOTO hiyo tangu tarehe 3/5/2024 hadi 7/5/2024 bado umeme haujaunganishwa KATIKA nyumba hiyo na zaidi wametoa masharti kwamba wapangaji wafyeke mti uliokaribu na nyumba hiyo Ili nyaya zipande juu zaidi na wametekeleza lakini hadi Sasa hawajarudisha umeme wakitaka RUSHWA.
Umeme ukirudi utoe update mkuu
 
TANESCO walikuja lakini walitoa masharti kwamba mti ulio katibu waupuruni wapangaji na walifanya hivyo ila wakasema hawana nafasi hadi Leo hii
 
Sheria kali itungwe bungeni endapo raia akikosa umeme kwa uzembe wahusika wakione cha mtema kuni ndo nchi yetu itapiga hatua kwa haraka.
 
Back
Top Bottom