Shinyanga: Kijana mmoja akamatwa na Polisi kwa kumdanganya Waziri Ummy kuwa anaumwa COVID-19

Mkuu unadhani huyo mtuhumiwa baada ya kupiga simu na kudai kua ana maambukizi ya Corona ni kwanini aliiharibu laini yake ya simu kwa kuivunja vunja? umejiuliza hilo swali?
Nilihisi kupona kabisa baada ya kujifukiza moshi wa mavi ya tembo, ko nikaona wasihangaike kuja kunichukua wakati nahisi kupona mafua.



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama alikuwa mgonjwa kwanini alizima simu yake na.kuendelea na shuhuli zake, mgonjwa angeenda kazini na kuendelea shuhuli zake? Siku akiumwa kweli atakosa wakimsaidia watajua ni utani

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Someni muelewe, huyu jamaa baada ya kutoa taarifa akavunja laini na timu ya madaktari ilipofika kumpa huduma wakamkosa. Hii inamaana alikuwa anajua alitendalo kwamba anadanganya. Angeruhusu madaktari wampe huduma halafu asikutwe na covid 19, hapo isingekuwa kosa
[/QUOTE]
Soma Post Na. 17.., and anyway wewe upo akilini mwake huenda baada ya kutoa hii taarifa akapanic.., pia kwenye hili janga ambalo wengi wanaogopa kupimwa au kugunduliwa wanao kuongezea hatari ya kukamatwa ni kuwazidishia woga (hata kama wangemsulubu huyu dogo hakuna haja ya kuutangazia umma)
 
Sio kosa. Piga simu, eleza uko wapi, wahusika watakuja na kukufanyia vipimo. Huna wanakueleza kiungwana kabisa. Kosa, umepiga simu, wahusika wamekuja umejificha na kuzima simu yako. Hebu angalia usumbufu huo! Tujaribu kutafakari kwanza kabla ya kukimbilia kulaumu.
 
Taarifa haikuwa imekamilika mwanzo sisi sio wajinga hadi tu-komenti vile
 
 
Baada ya kumfuata ali Zima simu na kuivunja laini.
Kadanganya kwani ana vipimo ?
Yeye kwa upeo wake amedhani anayo, sasa kama hana si bahati nzuri ?
Tunatumia nguvu nyingi kwa vitu ambavyo tungeweza kuvipuuza..., sasa na mimi kesho nikidhani ninayo si taogopa kupiga simu nisihukumiwe kudanganya ?

"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Wanavyosema huyo alipofuatwa akazima simu na kuivunja laini
"baba unahonga hawara elfu kumi,
watoto wanakufa na njaa nyumbani"
 
Mkuu unadhani huyo mtuhumiwa baada ya kupiga simu na kudai kua ana maambukizi ya Corona ni kwanini aliiharibu laini yake ya simu kwa kuivunja vunja? umejiuliza hilo swali?
Shida ya hii nchi kila mtu anajifanya mjuaji. Yaani wanaleta utoto hadi kwenye vitu vya msingi. Ameshasahau kwamba huyo mtu ameivunja lain lakini pia mtuhumiwa akili ni ndogo lain ameisajili anafikiri kuvunja lain ndiyo kufuta jina lake. Yaani huku nyuma ya keyboard ni shida kweli.
 
Tatizo la vijana wachimba dhahabu wakipataga gramu 5 wanajiona dunia hii hamna wa kuwafanya chochote

Mwambien huyo dogo asimfanye waziri kuwa nyankole
 
Tunalikimbia tatizo kwa kutengeneza matatizo tukifikiri kuwa tunakwepa tatizo la msingi ambalo ni hilo.
 
Mbona mtuhumiwa alizima simu yake na kuvunja vunja SIM card ili kuharibu ushahidi hata kabla ya vipimo? Na kwa nini ampigie ummy kama si kujitakia ujiko wa kuandikwa Kwenye vyombo vya habari.
 
Kadanganya kwani ana vipimo ?
Yeye kwa upeo wake amedhani anayo, sasa kama hana si bahati nzuri ?
Tunatumia nguvu nyingi kwa vitu ambavyo tungeweza kuvipuuza..., sasa na mimi kesho nikidhani ninayo si taogopa kupiga simu nisihukumiwe kudanganya ?
Na kama hana vipimo alijuaje ana corona mpaka kufikia hatua ya kupiga simu kwa waziri halafu baadae akaivunja vunja line ya simu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…