Pre GE2025 Shinyanga: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Pre GE2025 Shinyanga: Matukio yanayojiri kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Roving Journalist

JF Roving Journalist
Joined
Apr 18, 2017
Posts
3,984
Reaction score
13,760

WanaJF,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Shinyanga. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.

shinyanga.jpg

Mkoa wa Shinyanga uko Kanda ya Ziwa katika Tanzania na ni maarufu kwa shughuli za kilimo na ufugaji, pamoja na madini, hasa almasi. Mkoa huu una historia ya utajiri wa madini, hususan kupitia mgodi maarufu wa almasi wa Mwadui.

Idadi ya Watu​

Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Shinyanga ni 2,241,299; wanaume 1,102,879 na wanawake 1,138,420, na ina wilaya 5 ambazo ni Shinyanga Manispaa, Shinyanga Vijijini, Kahama Mjini, Kahama Vijijini, Ushetu

Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi​

Mkoa wa Shinyanga una jumla ya majimbo 6 ya uchaguzi:
  • Jimbo la Shinyanga Mjini
  • Jimbo la Solwa
  • Jimbo la Kahama Mjini
  • Jimbo la Msalala
  • Jimbo la Kishapu
  • Jimbo la Ushetu
HALI YA UCHAGUZI MKUU 2020

Mkoa wa Shinyanga ulishiriki kikamilifu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliibuka na ushindi mkubwa katika maeneo mengi ya mkoa huo.

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Hayati John Pombe Magufuli, alipata kura nyingi zaidi kulinganisha na wapinzani wake.

Katika uchaguzi wa Ubunge, wagombea wengi wa CCM walipita bila kupingwa na wengine kushinda kwa kura nyingi dhidi ya wapinzani wao huku wakiwa na ushindi wa 100%.

Uchaguzi wa Madiwani, (CCM) walipata ushindi mkubwa kwenye nafasi za madiwani ikifanikiwa kushinda kata nyingi. Hii ilitokana na upinzani kukumbwa na changamoto nyingi, zikiwemo wagombea wao kuenguliwa kutokana na matatizo ya kisheria au kutokidhi vigezo

Kulikuwa na malalamiko kutoka kwa vyama vya upinzani kama vile CHADEMA na ACT-Wazalendo kuhusu kutokuwepo kwa uwazi na haki katika mchakato wa uchaguzi.

Updates

December, 2024

January
February
March
 

WanaJF,

Mada hii itakuwa na 'Updates' za Matukio kuelekea Uchaguzi Mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani 2025 kama yanavyotujia kutoka kwenu kutoka mkoa wa Shinyanga. Ukiwa na taarifa yoyote ambayo ni ya eneo hili tafadhali usisite kuweka.


Mkoa wa Shinyanga uko Kanda ya Ziwa katika Tanzania na ni maarufu kwa shughuli za kilimo na ufugaji, pamoja na madini, hasa almasi. Mkoa huu una historia ya utajiri wa madini, hususan kupitia mgodi maarufu wa almasi wa Mwadui.

Idadi ya Watu​

Matokeo ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022 yanaonesha kuwa idadi ya watu katika Mkoa wa Shinyanga ni 2,241,299; wanaume 1,102,879 na wanawake 1,138,420, na ina wilaya 5 ambazo ni Shinyanga Manispaa, Shinyanga Vijijini, Kahama Mjini, Kahama Vijijini, Ushetu

Idadi ya Majimbo ya Uchaguzi​

Mkoa wa Shinyanga una jumla ya majimbo 6 ya uchaguzi:
  • Jimbo la Shinyanga Mjini
  • Jimbo la Solwa
  • Jimbo la Kahama Mjini
  • Jimbo la Msalala
  • Jimbo la Kishapu
  • Jimbo la Ushetu
HALI YA UCHAGUZI MKUU 2020

Mkoa wa Shinyanga ulishiriki kikamilifu katika uchaguzi wa Rais, Wabunge, na Madiwani ambapo Chama Cha Mapinduzi (CCM) kiliibuka na ushindi mkubwa katika maeneo mengi ya mkoa huo.

Mgombea wa urais kwa tiketi ya CCM, Hayati John Pombe Magufuli, alipata kura nyingi zaidi kulinganisha na wapinzani wake.

Katika uchaguzi wa Ubunge, wagombea wengi wa CCM walipita bila kupingwa na wengine kushinda kwa kura nyingi dhidi ya wapinzani wao huku wakiwa na ushindi wa 100%.

Uchaguzi wa Madiwani, (CCM) walipata ushindi mkubwa kwenye nafasi za madiwani ikifanikiwa kushinda kata nyingi. Hii ilitokana na upinzani kukumbwa na changamoto nyingi, zikiwemo wagombea wao kuenguliwa kutokana na matatizo ya kisheria au kutokidhi vigezo

Kulikuwa na malalamiko kutoka kwa vyama vya upinzani kama vile CHADEMA na ACT-Wazalendo kuhusu kutokuwepo kwa uwazi na haki katika mchakato wa uchaguzi.

ZINGATIA: Mikoa yote ina mada yake ya 'Update' ili kuweka wepesi katika ufuatiliaji.
Sasa mod nini maana ya huu uzi kama huweki habari za mkoa husika???? Kwa mfano hapo Shinyanga mwenyekiti wa Chadema kafukuzwa mbona hujaaupdate??
 
Back
Top Bottom