Wakudadisi
JF-Expert Member
- Jul 13, 2021
- 626
- 528
Hivi alishika nafasi ya ngapiHuyo Alikataliwa Kabisa Hapo Mjini
Hao walipita kwa Nguvu ya jiwe
Kwenye kura za maoni alikuwa wa 5 na kura zake 21!Hivi alishika nafasi ya ngapi
Jiwe alikuwa anawapanga kama kuni
Aisee inatia kichefuchefu,hao wanne wote wanamuunga mkono kweli?Kwenye kura za maoni alikuwa wa 5 na kura zake 21!
Huyo hapa Shinyanga hatakiwi! Kuanzia kwenye chama mpaka kwa wananchi. Chama kilimrudisha Masele, lakini akakatwa na Mh. Jiwe! Kwa wananchi walimpa yule mmoja wa COVID-19 Salome Makamba akadhulumiwa na Mh. Jiwe!Aisee inatia kichefuchefu,hao wanne wote wanamuunga mkono kweli?
CCM kuna mpasuko wa chinichini,walipokwa Uhuru wao.
Hata wizara alipewaje? 2025 afunge vilago
Nafasi Ya Tatu Kwa Kura KiduchuHivi alishika nafasi ya ngapi
Jiwe alikuwa anawapanga kama kuni
Jiwe alinunua kotekote..Huyo hapa Shinyanga hatakiwi! Kuanzia kwenye chama mpaka kwa wananchi. Chama kilimrudisha Masele, lakini akakatwa na Mh. Jiwe! Kwa wananchi walimpa yule mmoja wa COVID-19 Salome Makamba akadhulumiwa na Mh. Jiwe!
5 na 12 nani mkweliKatambi alikuwa mtu 12 akavushwa kupewa nafasi kugombea na akapatishwa nafasi ubunge.....
Kanakula viroba tangu kakiwa nyegezi seminaryHuyu wala ni mwakilishi wa udhalimu, maana hakuchaguliwa na wanashinyanga
Huyu jamaa hafai kabisa mwanashy wanakwama wapi?Huyo Alikataliwa Kabisa Hapo Mjini
Hao walipita kwa Nguvu ya jiwe
Alikuwa HatakiwiHuyu jamaa hafai kabisa mwanashy wanakwama wapi?
Salome mkuu kajichafu sana na hii habari yao ya COVID-19. Alikuwa anakubalika sana kwa raia wote wa Shinyanga bila kujali itikadi. Wamama wa CCM wenyewe walikuwa wanamwunga mkono! Sasa hivi mkuu jimbo liko wazi kotekote iwe CHADEMA au CCM!Jiwe alinunua kotekote..
Huyo Salome ndiyo kajiharibia kotekote.Salome anauhuru wakutembea hapo mjini kama awali
Nani wanamajina 2025 kwa chadema
Ccm
Ujue imekuwa siku nyingi mkuu inaweza kuwa nilichapia. Ila itoshe tu kusema hakuwamo kwenye 3 bora! Huyo anayesema 12 anaweza kuwa yuko sahihi maana wagombea walikuwa wengi sana!5 na 12 nani mkweli