Unawekaje mambo sawa na msaliti ndugu? Kuna watu wanafanya umalaya bila kujali mioyo ya wenza wao...wakatwe tu mapanga hakuna namnaAfungwe tu alishindwa kaa chini na mkewe wakaweka mambo sawa, ila mapenzi haya hayazoeleki
Ni afadhali kumuacha na kutoa sababu kuwa ni msaliti na ushahidi upo kuua sio solution kabisaUnawekaje mambo sawa na msaliti ndugu? Kuna watu wanafanya umalaya bila kujali mioyo ya wenza wao...wakatwe tu mapanga hakuna namna
... ni ujinga kumuua mkeo/mumeo kwa sababu ya kinachoitwa usaliti kwenye ndoa! Achaneni kwa amani kila mtu aendelee na maisha yake. Ya nini kuharibiana maisha kuozea jela?Unawekaje mambo sawa na msaliti ndugu? Kuna watu wanafanya umalaya bila kujali mioyo ya wenza wao...wakatwe tu mapanga hakuna namna
Jaribu kuchukua make was mtu utajuta sanaKitendo cha kuingia kwenye ndoa, ina maana unakaribia kupata kifungo cha maisha gerezani
Mimi sipendi kujiingiza kwenye vitu vya hatari kama hivyo, Kama utamu na utelezi umejaa mtaani
Ni kweli,leo braza kaka,mkongwe amepatwa na nini?Aliyechoma mke wake kwa gunia mbili za mkaa naye alikuwa wa mkoani
Sheria inawataka kujijakikishia pasi na shaka kwamba hayo ndo yaliyotokea.Eti atafikishwa mahakamani upelelezi ukikamilika. Mtuhumiwa kaua mbele ya balozi, akajipeleka mwenyewe Polisi kuwaambia nimeua, sasa upelelezi gani wanautaka?
Maiti ipo, panga lipo, balozi yupo, mtuhumiwa yupo!
Polisi bhana!
...ila wakiona polisi walioshuhudia tukio...! POLISI WANASHUHUDIAJE TUKIO?Ugumu wa kesi ni mashahidi wengi wameona ila watakaokuwa tayari kutoa ushahidi ndio mtihani unaanzia hapo hasa ukizingatia hii kesi itasomwa mahakama za kawaida wakati upelelezi unaendea then baadae inahamishiwa Mahakama kuu ukute hiyo mahakama kuu ipo mwanza nani ataacha kazi zake asafiri kwa garama zake na ajitegemee malazi?
Siku ya tukio watu hujaa ila wakiona polisi walioshuhudia tukio likitendeka wanaingia mitini
Sijui mnawaweka wapi Ma Alshabaab!!?... bila kusahau wapakistan of course ndio hao hao wahindi.
Aaa bana mapolisi nao waache ujinga, sasa panga, mashahidi, maiti, mtuhumiwa, vyote vipo wanakwama wapi???Kesi ni process mkuu lazima watafutwe mashahidi zaidi ya mmoja aliyeshuhudia tukioa sio kuambiwa, Polisi walienda baada ya mtuhumiwa kujipeleka so lazima wajiridhishe watachoiambia mahakama, na ushahidi wao usiache shaka.
Define "kushuhudia"...ila wakiona polisi walioshuhudia tukio...! POLISI WANASHUHUDIAJE TUKIO?
Mkuu soma hata Google what evidence meanAaa bana mapolisi nao waache ujinga, sasa panga, mashahidi, maiti, mtuhumiwa, vyote vipo wanakwama wapi???