LGE2024 Shinyanga: Mwanafunzi wa miaka 16 akutwa na wakala wa CHADEMA akiwa anajiandikisha kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Apigwa maswali mazito!

LGE2024 Shinyanga: Mwanafunzi wa miaka 16 akutwa na wakala wa CHADEMA akiwa anajiandikisha kwenye Uchaguzi wa Serikali Za Mitaa. Apigwa maswali mazito!

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Mindyou

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2024
Posts
1,869
Reaction score
4,877
Wakuu,

Hii ni video nimekutana nayo huko mtandaoni yaani X ambapo wakala huyu wa CHADEMA alikutana na mwanafunzi huyu wa miaka 16 akiwa anataka kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura.

Baada ya kuhojiwa maswali mawili matatu, dogo kaanza kujing'ata ng'ata. Tukio hili limetokea huko Bulyanhulu mkoani Shinyanga!

Its clear that CCM iko kwenye panic mode. Sijui wanaogopa nini.

Tlaatlaah ChoiceVariable njooni muone chama chenu huku!
 
Wakuu,

Hii ni video nimekutana nayo huko mtandaoni yaani X ambapo wakala huyu wa CHADEMA alikutana na mwanafunzi huyu wa miaka 16 akiwa anataka kujiandikisha kwenye daftari la mpiga kura.

Baada ya kuhojiwa maswali mawili matatu, dogo kaanza kujing'ata ng'ata. Tukio hili limetokea huko Bulyanhulu mkoani Shinyanga!

Its clear that CCM iko kwenye panic mode. Sijui wanaogopa nini.

Tlaatlaah ChoiceVariable njooni muone chama chenu huku!
View attachment 3126473
kwahiyo kijana wa miaka 16 amepigwa na maswali mazito na chadema right? Je, sio udhalilishaji wa watoto kisaikolojia huo?

na kwa vile kahojiwa na wakala wa chadema ndio imethibitika ana miaka 16 right? vitu gani zaidi vya uthibitisho ambavyo chadema wamekusanya dhidi ya mtoto huyo?

na je,
nikisema alietengeneza hiyo script ya upotoshaji kuna mahali amekosea kidogo, ntakua namuonea?🐒
 
Akileta cheti cha kuzaliwa kina miaka 18 huyo wakala wa Chadema ajiandae kwa kesi
 
Kesi gani? Kuhoji umri wa mtu ambaye anatakiwa kujiandikisha kama una mashaka ni kosa?

Uko serious mkuu?
Sio kwa kuhoji kwa kudhalilisha mtu akihoji ahoji kwa adabu sio kuhoji kama yeye polisi ahojiwe mtuhumiwa polisi

Huyo anahoji utafikiri police.Mtoto aweza panic akasems hata nins miaka sita
Kumbe ana 19 na cheti cha kuzaliwa anacho
 
Watoto wanafanya nini kwenye kituo cha kujiandikisha kupiga kura?

Tuanzie hapo
kwanza unapotosha,
Lakini pili, mtoto chini ya umri wa miaka 18 haruhusiwi kujiandikisha wala kupiga kura kwa mujibu wa katiba..

Tatu, hakuna mtu anaekuja kujiandikisha kituo cha kujiandikisha akiwa na cheti cha kuzaliwa au cha clinic..

kwahiyo,
kukurupuka tu na kuja kupiga mayowe ya upotoshaji hakuna maana yoyote..

Jambo la muhimu zaidi jamii inafaa kufahamu ni kwamba, wanafunzi wa ngazi zote waliokidhi vigezo na masharti ya kikatiba wanafaa kuandikishwa na hatimae kupiga kura kwa mujibu wa sheria, bila mbambamba wala mayowe ya mtu au chama chochote cha siasa 🐒
 
kwahiyo kijana wa miaka 16 amepigwa na maswali mazito na chadema right? Je, sio udhalilishaji wa watoto kisaikolojia huo?

na kwa vile kahojiwa na wakala wa chadema ndio imethibitika ana miaka 16 right? vitu gani zaidi vya uthibitisho ambavyo chadema wamekusanya dhidi ya mtoto huyo?

na je,
nikisema alietengeneza hiyo script ya upotoshaji kuna mahali amekosea kidogo, ntakua namuonea?🐒
Mkuu, Kiongozi ameamua kukiuka kanuni zake
 
Chadema hawana mipango ni lawama tu ndio masterplan yao
 
Back
Top Bottom