Shinyanga secondary a.k.a shy-bush kuna nini?

nimesoma shybush 2007-A LEVAL,mazingira yake yalikuwa mazuri sana na walimu haikuwa tatizo kwani walikuwa wa kutosha kwa sasa siwezi kujua kwa undani lakini ni shule nzuri kwa sayansi
 
majanga kama unauwezo wakuhama uko fanya harakaaa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…