Ina.maana awamu ya tano ilitelekezwa na Sasa inajengwa kwa Kasi. Wale wa legacy mnakaribishwa kusema na hii ni legacy Sasa sijui inajijenga Kama uyogaKatika pitapita zangu Mkoa wa Shinyanga nimefika kushuhudia mradi mkubwa wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla mradi unaenda kwa kasi ingawa baada ya kufanya mahojiano na wakazi wa maeneo hayo ya mradi wamesema mradi ulikaa siku nyingi tangu serikali ya awamu ya nne ndiyo hospitali hiyo ilianza kujengwa baadae kutelekezwa...
Ile ishakamilika kwa asilimia kubwa sana na baadhi ya majengo walishaanza kuyatumia imebaki finals na Rais mwenyewe amewaambia ataenda kuifungua Yani kwamba akifungua awe amemalizana nao wasilete kidomodomoSamahani, hivi ile ya chatial ishaishaga?
Hiyo siifahamu siwezi jibu kitu ambacho sikifahamu.
Hospitali imeanza kujengwa 2014 mpaka Leo miaka 8 baadaye haijaisha bado unakuja kusifu? Awali ilikuwa inajengwa chini ya serikali ya CUF?Katika pitapita zangu Mkoa wa Shinyanga nimefika kushuhudia mradi mkubwa wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla mradi unaenda kwa kasi ingawa baada ya kufanya mahojiano na wakazi wa maeneo hayo ya mradi wamesema mradi ulikaa siku nyingi tangu serikali ya awamu ya nne ndiyo hospitali hiyo ilianza kujengwa baadae kutelekezwa...
Kwahiyo ulienda mpaka mwawaza au ndio mwana shinyanga mkazi ?Katika pitapita zangu Mkoa wa Shinyanga nimefika kushuhudia mradi mkubwa wa ujenzi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga kwa ujumla mradi unaenda kwa kasi ingawa baada ya kufanya mahojiano na wakazi wa maeneo hayo ya mradi wamesema mradi ulikaa siku nyingi tangu serikali ya awamu ya nne ndiyo hospitali hiyo ilianza kujengwa baadae kutelekezwa...