OgwaluMapesa
JF-Expert Member
- May 24, 2008
- 10,942
- 434
Huko ni cha mtoto mambo iko huku Mbeya watu walivyo na hamu they can't wait we acha tu.'' Vi 'Inzi" Vilivyotangulia mitaa ya obwere ka bwana Shirati Rorya Ngome ya Mwasisi wa Mageuzi Nchini Hon Learned Mabere Nyaucho Marando (Juock Ping) vinadokeza kuwa Wananchi wa Shirati wanasubiri kwa hamu kumsikia Dr Slaa atakapopita huko muda sio mrefu na ujummbe wa mabadiliko ya Taifa
Tayari amefika kijiji cha Komuge kila anapopita apatoshi wanakijiji wanasubiri kwa hamu kuamsha hasira ''yaho''
Dr ,Comrade ,Mpiganaji na kamanda wa anga karibu shirati
hapo mbona ndo mageuzi yalipoanza...huko kwetu watu hawadanganyiki,Nyerere mwenyewe nusura akione cha mtema kuni mwaka 1995 alipotaka kukosea kidogo...watu wa Kabwana wanajua hili lilitokea nini.Mwaka 2000 kampeni yote ilihamia Rorya ya kumuondoa Marando,kila mtu mwenye jina CCM alifika Rorya.Na uwizi wa kura wakashinda.'' Vi 'Inzi" Vilivyotangulia mitaa ya obwere ka bwana Shirati Rorya Ngome ya Mwasisi wa Mageuzi Nchini Hon Learned Mabere Nyaucho Marando (Juock Ping) vinadokeza kuwa Wananchi wa Shirati wanasubiri kwa hamu kumsikia Dr Slaa atakapopita huko muda sio mrefu na ujummbe wa mabadiliko ya Taifa
Tayari amefika kijiji cha Komuge kila anapopita apatoshi wanakijiji wanasubiri kwa hamu kuamsha hasira ''yaho''
Dr ,Comrade ,Mpiganaji na kamanda wa anga karibu shirati
hapo mbona ndo mageuzi yalipoanza...huko kwetu watu hawadanganyiki,Nyerere mwenyewe nusura akione cha mtema kuni mwaka 1995 alipotaka kukosea kidogo...watu wa Kabwana wanajua hili lilitokea nini.Mwaka 2000 kampeni yote ilihamia Rorya ya kumuondoa Marando,kila mtu mwenye jina CCM alifika Rorya.Na uwizi wa kura wakashinda.
Ila safari hii patakuwa hapatoshi,Lameck atauza hadi Lackairo yake manake atanunua sana..ila mwisho wa siku watu wa Rorya watasema kwenye kura.Walianzisha mabadiliko kwa kupeleka mbunge wa upinzani bungeni mwaka 1995.Hawatashindwa sasa kama Chadema wataweka mtu mwenye sera.
maswala muulizeni mbayuwayu mkwerenasikia hata mkuranga nako wanamsubiri kwa hamu sana dk slaa wamuulize maswala
Hon Ochola Martin Ndira
ha ha ha wewe Ogwalu bana, tayari mnamuita Hon au hilo ni jina lake?
BTW - Hiyo Juock Ping ya marando nimeipenda sana ingawa sijui maana yake (ina sound vizuri sana)
maswala muulizeni mbayuwayu mkwere
maswali muulizeni Dr. Slaa
'' Vi 'Inzi" Vilivyotangulia mitaa ya obwere ka bwana Shirati Rorya Ngome ya Mwasisi wa Mageuzi Nchini Hon Learned Mabere Nyaucho Marando (Juock Ping) vinadokeza kuwa Wananchi wa Shirati wanasubiri kwa hamu kumsikia Dr Slaa atakapopita huko muda sio mrefu na ujummbe wa mabadiliko ya Taifa
Tayari amefika kijiji cha Komuge kila anapopita apatoshi wanakijiji wanasubiri kwa hamu kuamsha hasira ''yaho''
Dr ,Comrade ,Mpiganaji na kamanda wa anga karibu shirati
Nipeni kazi nitafanya kwa ujira mdogo tu!Jamani mkono mtupu haulambwi.
mnaonaje Tukamuajiri m2 katika msafara wa Slaa kwaajili ya Kutuletea mapicha?
ni wazo tu.