johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Nadhani Hali ya Uchumi kwa Vijana imekuwa ngumu sana
Napendekeza Shirika la Bahati Nasibu la Taifa lifufuliwe lilikuwaga Morogoro road jirani na makao Makuu ya UVCCM
Pili atafutwe mrithi wa Sheikh Yahya Ili Vijana wasome Nyota Zao kila asubuhi
Kiukweli kuelekea uchaguzi mkuu imedhihirika Vijana Wana Hali Ngumu sana ya Kiuchumi
Ahsanteni sana 😄
Napendekeza Shirika la Bahati Nasibu la Taifa lifufuliwe lilikuwaga Morogoro road jirani na makao Makuu ya UVCCM
Pili atafutwe mrithi wa Sheikh Yahya Ili Vijana wasome Nyota Zao kila asubuhi
Kiukweli kuelekea uchaguzi mkuu imedhihirika Vijana Wana Hali Ngumu sana ya Kiuchumi
Ahsanteni sana 😄