Shirika la Bima Ya Afya Tanzania (NHIF) linafilisika. Nini kimesababisha haya yote na hatua zipi zichukuliwe kutatua changamoto hii?

Shirika la Bima Ya Afya Tanzania (NHIF) linafilisika. Nini kimesababisha haya yote na hatua zipi zichukuliwe kutatua changamoto hii?

DaudiAiko

JF-Expert Member
Joined
Dec 2, 2012
Posts
372
Reaction score
310
Wanabodi,

Serikali inatumia jitihada kubwa sana kujenga vituo vya afya na kuhakikisha kwamba huduma hizi zinawafikia wananchi katika sehemu tofauti tofauti. Nakubali kwamba kuna umuhimu wa kuwa na miundombinu nchini lakini hilo ni jambo la kwanza tu. kinacho fuata ni kuhakikisha kwamba wananchi wana mudu gharama za matibabu na kupata afya bora.

Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na sinto fahamu kuhusu uwezo wa serikali kutoa huduma za afya bila gharama yoyote kwa wananchi au wananchi wote kuwa na bima ya afya bila kulipia michango yoyote. Ahadi hizi zote zinaonekana kuwa za uwongo haswa katika kipindi hiki ambacho shirika la bima ya afya Tanzania (NHIF) lina filisika.

Tujaribu kuangazia mapato ya NHIF ya kawaida na malipo yanayofanywa na shirika hili ili kuhakikisha kwamba walio jiunga na mpango huu wana nufaika. Njia kuu ya mapato kwa NHIF ni michango kutoka kwa wanachama wote walio chagua vifurushi tofauti tofauti kwenye mpango huu. Kama ilivyo bima zingine, malipo hufanywa bila ya mchangiaji kufahamu kama ataugua au la.

Ikitokea umechangia kwa muda hata wa miaka kumi bila kuugua basi fedha yako itakuwa kama faida kwa NHIF. Ila ikitokea kwamba umeugua, bima yako itaku gharamikia matibabu kulingana na kifurushi ulicholipia. Vilevile NHIF hulipia matibabu baada ya kuhakikisha kwamba kweli unaumwa. Hili hufanyika baada ya aliyeugua kutembelea hospitali inayopokea bima ya NHIF na kumuona daktari.

Je shirika la NHIF huwalipia wagonjwa matibabu kwa njia ipi?:

Hospitali zinazopokea bima ya NHIF hupeleka fomu za matibabu na dawa kwenye shirika la NHIF kila baada ya kuwa hudumia wagonjwa walio lipia bima hii. Malipo hufanywa moja kwa moja kwa hospitali husika kulingana na huduma ambazo wagonjwa hupata. Hii ina maanisha kwamba fomu zikipotea basi hospitali husika haziwezi kupata malipo kamili kutoka NHIF na vilevile udangayifu kwenye ujazaji wa fomu hizi husababisha hasara kwa shirika la NHIF.

Hospitali hugharamikia matibabu ya wagonjwa kwa kuhakikisha kwamba wanawalipa watumishi wa afya wote wano hudumia wagonjwa wa NHIF, kuhakikisha kwamba vipimo vyote vinafanya kazi na kuhakikisha kwamba dawa zote zinapatikana kwenye famasi zote zinazo hudumia wagonjwa wa bima ya afya.

Ikitokea kwamba dawa hazijapatikana hospitalini, wagonjwa huandikiwa fomu ambazo huwa wezesha kupata dawa hizi kwenye famasi ambazo hazipo hospitalini. Kwasababu hiyo, NHIF hufanya malipo kwa hospitali zote na famasi zote zinazo wahudumia wagonjwa wenye bima hiyo.

Shirika la NHIF kufilisika ina maanisha kwamba watu wote walio jiunga na bima hii hawataweza kupata huduma za matibabu kwenye hospitali husika na kwenye famasi zilizopo nje ya hospitali. Kama miezi miwili au mitatu iliyopita, NHIF walisitisha huduma ya kupata dawa kwenye famasi zilizo nje ya hospitali kwa tuhuma za kwamba kila mgonjwa lazima apate dawa zote hospitalini. Labda hii haikuwa sababu ya msingi na badala yake ni kupungukiwa kwa uwezo wa shirika hili kulipa famasi zilizo nje ya hospitali.

Nini kinaweza kufanya shirika hili kuweza kumudu kuwa hudumia watanzania kama kawaida?: Kwanza kabisa ni muhimu kuelewa kwamba hospitali zote zinatakiwa ziweze kuhudimia wagonjwa wote wa NHIF bila kutegemea mafungu kutoka serikalini kila mwaka. Malipo kutoka NHIF yanatakiwa kuziwezesha hospitali zote kuendesha mfumo huu vizuri.

Vilevile, udanganyifu kwenye ujazaji wa fomu hospitalini na kwenye famasi zote zilizo nje ya hospitali lazima utokomezwe. Kwa haraka haraka inawezekana kwamba shirika la NHIF linadaiwa fedha nyingi sana na hospitali mbalimbali pamoja na famasi binafsi. Kufilisika kwa NHIF kunaweza kumaanisha kwamba shirika hilo halina uwezo kulipa madeni haya na kwasababu hiyo lazima serikali iingilie kati ili kuhakikisha kwamba wananchi wanaendelea kupata huduma hii.

Ama kweli, bima ya afya kwa watanzania wote bado ni ndoto ya Abunuwasi.




 
Mtindo wa kuteua CEO wa mashirika ya serikali na vile wajumbe wa bodi wanavyopatikana ni MBOVU hapa ndio tatizo linapoanzia..mfano NHIF yule CEO Bernard Konga hata kwa kumtizama tu s very junior in all aspects...hana sifa kabisa kumudu nafasi hiyo! Weka watu wazima matured!
 
Mpango wa bima ya afya kwa wote ilikuwa sera ya upinzani Wala haikuwa sera ya chama chakavu kwa kuwa wanapenda kukurupuka kudaka sera juu kwa juu hiyo imekuwa nguma katika kufanya utekelezaji wake.

Masharika mengi ya umma yanakufa kifo Cha 'natural death' sababu ya kuendeshwa na watu wasio na utaalam wa kuendesha mashirika sababu kuu ni kwamba ajira zinatolewa kwa undugu na itikadi bila kuzingatia sifa stahiki.

Tabia ya serikali kuchota pesa kwenye masharika ya umma nayo imechangia masharika mengi kufa maana shirika linakosa pesa ya kujiendesha mwisho kuleta hasara na mzigo kwa walipa kodi.

Uzembe,uvivu,kutojituma na kutegemea huruma ya serikali ni sababu ya kufa kwa mashariki ya umma,masharika mengi hayaja kaa kiushindani kutoa huduma yapo yapo kutegemea serikali kuhujumu masharika mengine ili wao wapate upendeleo wakikutana na mizani sawa ya kiushindani yana kufa Kama mbu.
 
Magufuli ndio kaua NHIF ela zote za shirika kajengea miradi anayotaka yeye, na ile miradi iliyokua inajengwa na NHIF yote aliisimamisha, em fikiri ni hasara kubwa kiasi gani waliipata na walikua na miradi mikubwa zaidi ya tano

Hao viongozi wanaangushia jumba bovu ila ukweli ndio huo.
 
Mashrika ya serikali ndivyo yalivyo.
Chanzo: wafanya kazi ni wengi kuliko wanachozalisha
 
Magufuli ndio kaua NHIF ela zote za shirika kajengea miradi anayotaka yeye, na ile miradi iliyokua inajengwa na NHIF yote aliisimamisha, em fikiri ni hasara kubwa kiasi gani waliipata na walikua na miradi mikubwa zaidi ya tano

Hao viongozi wanaangushia jumba bovu ila ukweli ndio huo.
Duhh
 
Viongozi wa NHIF wako vizuri sana. Shida siasa imeingizwa. NHIF iachwe kuwa Bima ya Watumishi, zifunguliwe taasisi nyingine kwa wasio watumishi.

Kwanini isife ikiwa watu wenye magonjwa pekee ndio wanaenda kufungua bima kwa hiari. Hawa si ndio wanaenda kula pesa iliyotolewa na watumishi?
 
Kila kitu kinapeperuka awamu hii.

Naamini kuna juhudi za makusudi kabisa kuliangamiza shirika hili ili mashirika binafsi yapate nguvu.

Awamu ya Wafanyabiashara hii.
 
Wanabodi,

Serikali inatumia jitihada kubwa sana kujenga vituo vya afya na kuhakikisha kwamba huduma hizi zinawafikia wananchi katika sehemu tofauti tofauti. Nakubali kwamba kuna umuhimu wa kuwa na miundombinu nchini lakini hilo ni jambo la kwanza tu. kinacho fuata ni kuhakikisha kwamba wananchi wana mudu gharama za matibabu na kupata afya bora.

Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na sinto fahamu kuhusu uwezo wa serikali kutoa huduma za afya bila gharama yoyote kwa wananchi au wananchi wote kuwa na bima ya afya bila kulipia michango yoyote. Ahadi hizi zote zinaonekana kuwa za uwongo haswa katika kipindi hiki ambacho shirika la bima ya afya Tanzania (NHIF) lina filisika.

Tujaribu kuangazia mapato ya NHIF ya kawaida na malipo yanayofanywa na shirika hili ili kuhakikisha kwamba walio jiunga na mpango huu wana nufaika. Njia kuu ya mapato kwa NHIF ni michango kutoka kwa wanachama wote walio chagua vifurushi tofauti tofauti kwenye mpango huu. Kama ilivyo bima zingine, malipo hufanywa bila ya mchangiaji kufahamu kama ataugua au la.

Ikitokea umechangia kwa muda hata wa miaka kumi bila kuugua basi fedha yako itakuwa kama faida kwa NHIF. Ila ikitokea kwamba umeugua, bima yako itaku gharamikia matibabu kulingana na kifurushi ulicholipia. Vilevile NHIF hulipia matibabu baada ya kuhakikisha kwamba kweli unaumwa. Hili hufanyika baada ya aliyeugua kutembelea hospitali inayopokea bima ya NHIF na kumuona daktari.

Je shirika la NHIF huwalipia wagonjwa matibabu kwa njia ipi?: Hospitali zinazopokea bima ya NHIF hupeleka fomu za matibabu na dawa kwenye shirika la NHIF kila baada ya kuwa hudumia wagonjwa walio lipia bima hii. Malipo hufanywa moja kwa moja kwa hospitali husika kulingana na huduma ambazo wagonjwa hupata. Hii ina maanisha kwamba fomu zikipotea basi hospitali husika haziwezi kupata malipo kamili kutoka NHIF na vilevile udangayifu kwenye ujazaji wa fomu hizi husababisha hasara kwa shirika la NHIF.

Hospitali hugharamikia matibabu ya wagonjwa kwa kuhakikisha kwamba wanawalipa watumishi wa afya wote wano hudumia wagonjwa wa NHIF, kuhakikisha kwamba vipimo vyote vinafanya kazi na kuhakikisha kwamba dawa zote zinapatikana kwenye famasi zote zinazo hudumia wagonjwa wa bima ya afya.

Ikitokea kwamba dawa hazijapatikana hospitalini, wagonjwa huandikiwa fomu ambazo huwa wezesha kupata dawa hizi kwenye famasi ambazo hazipo hospitalini. Kwasababu hiyo, NHIF hufanya malipo kwa hospitali zote na famasi zote zinazo wahudumia wagonjwa wenye bima hiyo.

Shirika la NHIF kufilisika ina maanisha kwamba watu wote walio jiunga na bima hii hawataweza kupata huduma za matibabu kwenye hospitali husika na kwenye famasi zilizopo nje ya hospitali. Kama miezi miwili au mitatu iliyopita, NHIF walisitisha huduma ya kupata dawa kwenye famasi zilizo nje ya hospitali kwa tuhuma za kwamba kila mgonjwa lazima apate dawa zote hospitalini. Labda hii haikuwa sababu ya msingi na badala yake ni kupungukiwa kwa uwezo wa shirika hili kulipa famasi zilizo nje ya hospitali.

Nini kinaweza kufanya shirika hili kuweza kumudu kuwa hudumia watanzania kama kawaida?: Kwanza kabisa ni muhimu kuelewa kwamba hospitali zote zinatakiwa ziweze kuhudimia wagonjwa wote wa NHIF bila kutegemea mafungu kutoka serikalini kila mwaka. Malipo kutoka NHIF yanatakiwa kuziwezesha hospitali zote kuendesha mfumo huu vizuri.

Vilevile, udanganyifu kwenye ujazaji wa fomu hospitalini na kwenye famasi zote zilizo nje ya hospitali lazima utokomezwe. Kwa haraka haraka inawezekana kwamba shirika la NHIF linadaiwa fedha nyingi sana na hospitali mbalimbali pamoja na famasi binafsi. Kufilisika kwa NHIF kunaweza kumaanisha kwamba shirika hilo halina uwezo kulipa madeni haya na kwasababu hiyo lazima serikali iingilie kati ili kuhakikisha kwamba wananchi wanaendelea kupata huduma hii.

Ama kweli, bima ya afya kwa watanzania wote bado ni ndoto ya Abunuwasi.




Inakufaje huku serikali ikituibia kutoka kwenye akaunti zwtu benki huku ikilinda wizi huo kisheria?

Chama mbadala wapewe dhamana ili tuanze upya kama Taifa
 
Magufuli ndio kaua NHIF ela zote za shirika kajengea miradi anayotaka yeye, na ile miradi iliyokua inajengwa na NHIF yote aliisimamisha, em fikiri ni hasara kubwa kiasi gani waliipata na walikua na miradi mikubwa zaidi ya tano

Hao viongozi wanaangushia jumba bovu ila ukweli ndio huo.
Nina shaka unachanganya- unazungumzia NHIF au NSSF?
 
Mama Makinda awe mkali; akicheka na nyani yatabaki mabua.
 
Kama mfuko ulimkopesha mtu basi arudishe. Sasa unafilisikaje wakati kuna mtu unamdai?
 
Mashrika ya serikali ndivyo yalivyo.

Chanzo: wafanya kazi ni wengi kuliko wanachozalisha
Wafanyakazi wengi wanaokula kama mchwa, wezi, mafisadi na wazembe. BTW hili suala la tozo lingekuwa vizuri kama fedha za tozo zingetumika kwenye bima ya afya.
 
Magufuli ndio kaua NHIF ela zote za shirika kajengea miradi anayotaka yeye, na ile miradi iliyokua inajengwa na NHIF yote aliisimamisha, em fikiri ni hasara kubwa kiasi gani waliipata na walikua na miradi mikubwa zaidi ya tano

Hao viongozi wanaangushia jumba bovu ila ukweli ndio huo.
NHIF Ina mradi gan? Au hujui NHIF Ni nn? Taja mradi mmoja wa NHIF waliokuwa nao.

Au unachanganya na NSSF?

Mwisho lakini si kwa umuhimu, HII ID mpya ulifungua kwa sababu hii?
 
Bado usimamiz wa fedha ni CHANGAMOTO , na hiv huweka wao wenyew ili pia wapate pakupgia
 
Wanabodi,

Serikali inatumia jitihada kubwa sana kujenga vituo vya afya na kuhakikisha kwamba huduma hizi zinawafikia wananchi katika sehemu tofauti tofauti. Nakubali kwamba kuna umuhimu wa kuwa na miundombinu nchini lakini hilo ni jambo la kwanza tu. kinacho fuata ni kuhakikisha kwamba wananchi wana mudu gharama za matibabu na kupata afya bora.

Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na sinto fahamu kuhusu uwezo wa serikali kutoa huduma za afya bila gharama yoyote kwa wananchi au wananchi wote kuwa na bima ya afya bila kulipia michango yoyote. Ahadi hizi zote zinaonekana kuwa za uwongo haswa katika kipindi hiki ambacho shirika la bima ya afya Tanzania (NHIF) lina filisika.

Tujaribu kuangazia mapato ya NHIF ya kawaida na malipo yanayofanywa na shirika hili ili kuhakikisha kwamba walio jiunga na mpango huu wana nufaika. Njia kuu ya mapato kwa NHIF ni michango kutoka kwa wanachama wote walio chagua vifurushi tofauti tofauti kwenye mpango huu. Kama ilivyo bima zingine, malipo hufanywa bila ya mchangiaji kufahamu kama ataugua au la.

Ikitokea umechangia kwa muda hata wa miaka kumi bila kuugua basi fedha yako itakuwa kama faida kwa NHIF. Ila ikitokea kwamba umeugua, bima yako itaku gharamikia matibabu kulingana na kifurushi ulicholipia. Vilevile NHIF hulipia matibabu baada ya kuhakikisha kwamba kweli unaumwa. Hili hufanyika baada ya aliyeugua kutembelea hospitali inayopokea bima ya NHIF na kumuona daktari.

Je shirika la NHIF huwalipia wagonjwa matibabu kwa njia ipi?: Hospitali zinazopokea bima ya NHIF hupeleka fomu za matibabu na dawa kwenye shirika la NHIF kila baada ya kuwa hudumia wagonjwa walio lipia bima hii. Malipo hufanywa moja kwa moja kwa hospitali husika kulingana na huduma ambazo wagonjwa hupata. Hii ina maanisha kwamba fomu zikipotea basi hospitali husika haziwezi kupata malipo kamili kutoka NHIF na vilevile udangayifu kwenye ujazaji wa fomu hizi husababisha hasara kwa shirika la NHIF.

Hospitali hugharamikia matibabu ya wagonjwa kwa kuhakikisha kwamba wanawalipa watumishi wa afya wote wano hudumia wagonjwa wa NHIF, kuhakikisha kwamba vipimo vyote vinafanya kazi na kuhakikisha kwamba dawa zote zinapatikana kwenye famasi zote zinazo hudumia wagonjwa wa bima ya afya.

Ikitokea kwamba dawa hazijapatikana hospitalini, wagonjwa huandikiwa fomu ambazo huwa wezesha kupata dawa hizi kwenye famasi ambazo hazipo hospitalini. Kwasababu hiyo, NHIF hufanya malipo kwa hospitali zote na famasi zote zinazo wahudumia wagonjwa wenye bima hiyo.

Shirika la NHIF kufilisika ina maanisha kwamba watu wote walio jiunga na bima hii hawataweza kupata huduma za matibabu kwenye hospitali husika na kwenye famasi zilizopo nje ya hospitali. Kama miezi miwili au mitatu iliyopita, NHIF walisitisha huduma ya kupata dawa kwenye famasi zilizo nje ya hospitali kwa tuhuma za kwamba kila mgonjwa lazima apate dawa zote hospitalini. Labda hii haikuwa sababu ya msingi na badala yake ni kupungukiwa kwa uwezo wa shirika hili kulipa famasi zilizo nje ya hospitali.

Nini kinaweza kufanya shirika hili kuweza kumudu kuwa hudumia watanzania kama kawaida?: Kwanza kabisa ni muhimu kuelewa kwamba hospitali zote zinatakiwa ziweze kuhudimia wagonjwa wote wa NHIF bila kutegemea mafungu kutoka serikalini kila mwaka. Malipo kutoka NHIF yanatakiwa kuziwezesha hospitali zote kuendesha mfumo huu vizuri.

Vilevile, udanganyifu kwenye ujazaji wa fomu hospitalini na kwenye famasi zote zilizo nje ya hospitali lazima utokomezwe. Kwa haraka haraka inawezekana kwamba shirika la NHIF linadaiwa fedha nyingi sana na hospitali mbalimbali pamoja na famasi binafsi. Kufilisika kwa NHIF kunaweza kumaanisha kwamba shirika hilo halina uwezo kulipa madeni haya na kwasababu hiyo lazima serikali iingilie kati ili kuhakikisha kwamba wananchi wanaendelea kupata huduma hii.

Ama kweli, bima ya afya kwa watanzania wote bado ni ndoto ya Abunuwasi.




Mfuko bado uko imara kuendelea kutekeleza majukumu yake ikiwemo kufanya malipo kwa wanufaika wake.
Hatua zinazotakiwa kuchukuliwa kwa sasa ni wananchi wengi zaidi kujiunga ili kuimarisha zaidi uhai wake.
 
Wanabodi,

Serikali inatumia jitihada kubwa sana kujenga vituo vya afya na kuhakikisha kwamba huduma hizi zinawafikia wananchi katika sehemu tofauti tofauti. Nakubali kwamba kuna umuhimu wa kuwa na miundombinu nchini lakini hilo ni jambo la kwanza tu. kinacho fuata ni kuhakikisha kwamba wananchi wana mudu gharama za matibabu na kupata afya bora.

Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na sinto fahamu kuhusu uwezo wa serikali kutoa huduma za afya bila gharama yoyote kwa wananchi au wananchi wote kuwa na bima ya afya bila kulipia michango yoyote. Ahadi hizi zote zinaonekana kuwa za uwongo haswa katika kipindi hiki ambacho shirika la bima ya afya Tanzania (NHIF) lina filisika.

Tujaribu kuangazia mapato ya NHIF ya kawaida na malipo yanayofanywa na shirika hili ili kuhakikisha kwamba walio jiunga na mpango huu wana nufaika. Njia kuu ya mapato kwa NHIF ni michango kutoka kwa wanachama wote walio chagua vifurushi tofauti tofauti kwenye mpango huu. Kama ilivyo bima zingine, malipo hufanywa bila ya mchangiaji kufahamu kama ataugua au la.

Ikitokea umechangia kwa muda hata wa miaka kumi bila kuugua basi fedha yako itakuwa kama faida kwa NHIF. Ila ikitokea kwamba umeugua, bima yako itaku gharamikia matibabu kulingana na kifurushi ulicholipia. Vilevile NHIF hulipia matibabu baada ya kuhakikisha kwamba kweli unaumwa. Hili hufanyika baada ya aliyeugua kutembelea hospitali inayopokea bima ya NHIF na kumuona daktari.

Je shirika la NHIF huwalipia wagonjwa matibabu kwa njia ipi?: Hospitali zinazopokea bima ya NHIF hupeleka fomu za matibabu na dawa kwenye shirika la NHIF kila baada ya kuwa hudumia wagonjwa walio lipia bima hii. Malipo hufanywa moja kwa moja kwa hospitali husika kulingana na huduma ambazo wagonjwa hupata. Hii ina maanisha kwamba fomu zikipotea basi hospitali husika haziwezi kupata malipo kamili kutoka NHIF na vilevile udangayifu kwenye ujazaji wa fomu hizi husababisha hasara kwa shirika la NHIF.

Hospitali hugharamikia matibabu ya wagonjwa kwa kuhakikisha kwamba wanawalipa watumishi wa afya wote wano hudumia wagonjwa wa NHIF, kuhakikisha kwamba vipimo vyote vinafanya kazi na kuhakikisha kwamba dawa zote zinapatikana kwenye famasi zote zinazo hudumia wagonjwa wa bima ya afya.

Ikitokea kwamba dawa hazijapatikana hospitalini, wagonjwa huandikiwa fomu ambazo huwa wezesha kupata dawa hizi kwenye famasi ambazo hazipo hospitalini. Kwasababu hiyo, NHIF hufanya malipo kwa hospitali zote na famasi zote zinazo wahudumia wagonjwa wenye bima hiyo.

Shirika la NHIF kufilisika ina maanisha kwamba watu wote walio jiunga na bima hii hawataweza kupata huduma za matibabu kwenye hospitali husika na kwenye famasi zilizopo nje ya hospitali. Kama miezi miwili au mitatu iliyopita, NHIF walisitisha huduma ya kupata dawa kwenye famasi zilizo nje ya hospitali kwa tuhuma za kwamba kila mgonjwa lazima apate dawa zote hospitalini. Labda hii haikuwa sababu ya msingi na badala yake ni kupungukiwa kwa uwezo wa shirika hili kulipa famasi zilizo nje ya hospitali.

Nini kinaweza kufanya shirika hili kuweza kumudu kuwa hudumia watanzania kama kawaida?: Kwanza kabisa ni muhimu kuelewa kwamba hospitali zote zinatakiwa ziweze kuhudimia wagonjwa wote wa NHIF bila kutegemea mafungu kutoka serikalini kila mwaka. Malipo kutoka NHIF yanatakiwa kuziwezesha hospitali zote kuendesha mfumo huu vizuri.

Vilevile, udanganyifu kwenye ujazaji wa fomu hospitalini na kwenye famasi zote zilizo nje ya hospitali lazima utokomezwe. Kwa haraka haraka inawezekana kwamba shirika la NHIF linadaiwa fedha nyingi sana na hospitali mbalimbali pamoja na famasi binafsi. Kufilisika kwa NHIF kunaweza kumaanisha kwamba shirika hilo halina uwezo kulipa madeni haya na kwasababu hiyo lazima serikali iingilie kati ili kuhakikisha kwamba wananchi wanaendelea kupata huduma hii.

Ama kweli, bima ya afya kwa watanzania wote bado ni ndoto ya Abunuwasi.




Dhana ya Mfuko ni kuchangia kabla ya kuugua ili uwe na uhakika wa kutibiwa hata kama huna fedha kwa kutumia kadi ya bima ya Afya.

Pamoja na kuwepo kwa utofauti wa michango viwango vya huduma za matibabu vipo sawa kwa kila mwanachama na hakuna ukomo wa huduma kulinga na kiwango ulichochangia.
 
Wanabodi,

Serikali inatumia jitihada kubwa sana kujenga vituo vya afya na kuhakikisha kwamba huduma hizi zinawafikia wananchi katika sehemu tofauti tofauti. Nakubali kwamba kuna umuhimu wa kuwa na miundombinu nchini lakini hilo ni jambo la kwanza tu. kinacho fuata ni kuhakikisha kwamba wananchi wana mudu gharama za matibabu na kupata afya bora.

Kwa muda mrefu sasa, kumekuwa na sinto fahamu kuhusu uwezo wa serikali kutoa huduma za afya bila gharama yoyote kwa wananchi au wananchi wote kuwa na bima ya afya bila kulipia michango yoyote. Ahadi hizi zote zinaonekana kuwa za uwongo haswa katika kipindi hiki ambacho shirika la bima ya afya Tanzania (NHIF) lina filisika.

Tujaribu kuangazia mapato ya NHIF ya kawaida na malipo yanayofanywa na shirika hili ili kuhakikisha kwamba walio jiunga na mpango huu wana nufaika. Njia kuu ya mapato kwa NHIF ni michango kutoka kwa wanachama wote walio chagua vifurushi tofauti tofauti kwenye mpango huu. Kama ilivyo bima zingine, malipo hufanywa bila ya mchangiaji kufahamu kama ataugua au la.

Ikitokea umechangia kwa muda hata wa miaka kumi bila kuugua basi fedha yako itakuwa kama faida kwa NHIF. Ila ikitokea kwamba umeugua, bima yako itaku gharamikia matibabu kulingana na kifurushi ulicholipia. Vilevile NHIF hulipia matibabu baada ya kuhakikisha kwamba kweli unaumwa. Hili hufanyika baada ya aliyeugua kutembelea hospitali inayopokea bima ya NHIF na kumuona daktari.

Je shirika la NHIF huwalipia wagonjwa matibabu kwa njia ipi?: Hospitali zinazopokea bima ya NHIF hupeleka fomu za matibabu na dawa kwenye shirika la NHIF kila baada ya kuwa hudumia wagonjwa walio lipia bima hii. Malipo hufanywa moja kwa moja kwa hospitali husika kulingana na huduma ambazo wagonjwa hupata. Hii ina maanisha kwamba fomu zikipotea basi hospitali husika haziwezi kupata malipo kamili kutoka NHIF na vilevile udangayifu kwenye ujazaji wa fomu hizi husababisha hasara kwa shirika la NHIF.

Hospitali hugharamikia matibabu ya wagonjwa kwa kuhakikisha kwamba wanawalipa watumishi wa afya wote wano hudumia wagonjwa wa NHIF, kuhakikisha kwamba vipimo vyote vinafanya kazi na kuhakikisha kwamba dawa zote zinapatikana kwenye famasi zote zinazo hudumia wagonjwa wa bima ya afya.

Ikitokea kwamba dawa hazijapatikana hospitalini, wagonjwa huandikiwa fomu ambazo huwa wezesha kupata dawa hizi kwenye famasi ambazo hazipo hospitalini. Kwasababu hiyo, NHIF hufanya malipo kwa hospitali zote na famasi zote zinazo wahudumia wagonjwa wenye bima hiyo.

Shirika la NHIF kufilisika ina maanisha kwamba watu wote walio jiunga na bima hii hawataweza kupata huduma za matibabu kwenye hospitali husika na kwenye famasi zilizopo nje ya hospitali. Kama miezi miwili au mitatu iliyopita, NHIF walisitisha huduma ya kupata dawa kwenye famasi zilizo nje ya hospitali kwa tuhuma za kwamba kila mgonjwa lazima apate dawa zote hospitalini. Labda hii haikuwa sababu ya msingi na badala yake ni kupungukiwa kwa uwezo wa shirika hili kulipa famasi zilizo nje ya hospitali.

Nini kinaweza kufanya shirika hili kuweza kumudu kuwa hudumia watanzania kama kawaida?: Kwanza kabisa ni muhimu kuelewa kwamba hospitali zote zinatakiwa ziweze kuhudimia wagonjwa wote wa NHIF bila kutegemea mafungu kutoka serikalini kila mwaka. Malipo kutoka NHIF yanatakiwa kuziwezesha hospitali zote kuendesha mfumo huu vizuri.

Vilevile, udanganyifu kwenye ujazaji wa fomu hospitalini na kwenye famasi zote zilizo nje ya hospitali lazima utokomezwe. Kwa haraka haraka inawezekana kwamba shirika la NHIF linadaiwa fedha nyingi sana na hospitali mbalimbali pamoja na famasi binafsi. Kufilisika kwa NHIF kunaweza kumaanisha kwamba shirika hilo halina uwezo kulipa madeni haya na kwasababu hiyo lazima serikali iingilie kati ili kuhakikisha kwamba wananchi wanaendelea kupata huduma hii.

Ama kweli, bima ya afya kwa watanzania wote bado ni ndoto ya Abunuwasi.




Magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka miongoni mwa wananchi ambayo yana gharama kubwa katika kuyatibu.

Kutokana na ongezeko la magonjwa hayo Mfuko umelazimika kulipia gharama kubwa ya matibabu hayo kwa wanachama wanaougua maradhi hayo.
 
Back
Top Bottom