Strong ladg
Senior Member
- Jul 15, 2021
- 170
- 445
Mamlaka nchini Niger zimeliamuru shirika la msalaba mwekundu kusimamisha shughuli zake nchini humo na kufunga ofisi zake mara moja .Vilevile, Niger imevunja mikataba iliyoruhusu shirika hilo kuendesha shughuli zake nchini Niger.
Baada ya kupokea amri hiyo kutoka serikalini, ofisi zote za shirika hilo zilifungwa siku ya Jumanne ya tarehe 4 Februari 2025 na wafanyakazi wa shirika hilo ambao ni raia wa kigeni, walianza taratibu za kuondoka nchini Niger.
Ingawa sababu za serikali ya Niger kufanya hivyo hazikuwekwa wazi, inaaminika serikali ya kijeshi ya Niger imelihusisha shirika hilo na ufadhili wa vikundi vya kigaidi.
Itakumbukwa kuwa mwishoni mwa 2024 kupitia televisheni ya taifa ( RTN), serikali ya Niger ilitoa ripoti iliyoonyesha kuwa Ufaransa inafadhili shughuli za ugaidi nchini Niger kwa kushirikiana na mashirika ya misaada.
Niger iliapa kuyashughulikia mashirika yote yanayotumiwa na serikali ya Ufaransa kufadhili shughuli za ugaidi nchini humo.
Katika hatua nyingine, mwaka 2024 serikali ya Niger ilimfukuza balozi wa umoja wa Ulaya nchini humo baada ya Umoja huo kupeleka fedha kwenye mashirika ya kutoa misaada pasipo kuitaarifu serikali. Serikali ya Niger ilidai kuna uwezekano wa fedha hizo kuishia kwenye mikono ya magaidi.
==
The government of Niger announced the abolition of the headquarters agreement of the International Committee of the Red Cross (ICRC) and ordered it to close offices in the country and immediately evacuate its foreign employees, according to a verbal note dated Jan. 31.
A Nigerien civil society figure who works with the ICRC said it was the Ministry of Foreign Affairs that denounced the organization's headquarters agreement. Since the head of the ICRC has the rank of diplomat, a verbal note is enough to make the government's decision official.
According to local media, the ICRC received the note on Feb. 4 and published the results of its work in Niger during the first half of 2024 on its official website the same day.
The ICRC said in its report that it entered Niger in 1990, with offices in Diffa, Tillaberi and Tahoua; it provided medical services to 121,236 victims of armed conflicts in the first half of 2024.
To date, neither side has responded when asked to comment.
Baada ya kupokea amri hiyo kutoka serikalini, ofisi zote za shirika hilo zilifungwa siku ya Jumanne ya tarehe 4 Februari 2025 na wafanyakazi wa shirika hilo ambao ni raia wa kigeni, walianza taratibu za kuondoka nchini Niger.
Itakumbukwa kuwa mwishoni mwa 2024 kupitia televisheni ya taifa ( RTN), serikali ya Niger ilitoa ripoti iliyoonyesha kuwa Ufaransa inafadhili shughuli za ugaidi nchini Niger kwa kushirikiana na mashirika ya misaada.
Niger iliapa kuyashughulikia mashirika yote yanayotumiwa na serikali ya Ufaransa kufadhili shughuli za ugaidi nchini humo.
Katika hatua nyingine, mwaka 2024 serikali ya Niger ilimfukuza balozi wa umoja wa Ulaya nchini humo baada ya Umoja huo kupeleka fedha kwenye mashirika ya kutoa misaada pasipo kuitaarifu serikali. Serikali ya Niger ilidai kuna uwezekano wa fedha hizo kuishia kwenye mikono ya magaidi.
==
The government of Niger announced the abolition of the headquarters agreement of the International Committee of the Red Cross (ICRC) and ordered it to close offices in the country and immediately evacuate its foreign employees, according to a verbal note dated Jan. 31.
A Nigerien civil society figure who works with the ICRC said it was the Ministry of Foreign Affairs that denounced the organization's headquarters agreement. Since the head of the ICRC has the rank of diplomat, a verbal note is enough to make the government's decision official.
According to local media, the ICRC received the note on Feb. 4 and published the results of its work in Niger during the first half of 2024 on its official website the same day.
The ICRC said in its report that it entered Niger in 1990, with offices in Diffa, Tillaberi and Tahoua; it provided medical services to 121,236 victims of armed conflicts in the first half of 2024.
To date, neither side has responded when asked to comment.