Ingekuwa ni bus, jingesema isamilo Express
[emoji4]
Chattle kuna uwanja wa ndege?Bombardier Q-400. Chattle hadi New York nauli laki na nusu.
Nashukuru sana ndugu yanguNijuavyo mimi, shirika la bei nafuu ni Etihad Airways lakini kinachofanya gharama za ndege ziwe juu au chini ni:-
1. Kuwahi kukata tiketi mapema hupunguza nauli
2. Kuchelewa kukata tiketi husababisha nauli iwe juu.
3. Msimu ambao kuna abiria wengi husababisha nauli ziwe juu na msimu ambao siyo season ya abiria wengi husababisha nauli ya ndege ipungue.
Nadhani utakuwa umenielewa ndugu mtoa mada.
Ahsante sana
Pia jaribu: cheapoair.comChattle kuna uwanja wa ndege?
Hayo mashirika yanaanzia safari Dar?Mkuu cheki na expedia au Kayak mpaka JFK unaweza kwenda kwa dollar 700
Niliyoyataja sio mashirika ya ndege ni mawakalaHayo mashirika yanaanzia safari Dar?
Vv