Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AirTanzania is the cheapest na huduma nzuriHamna shirika lenye visa ndugu yangu hapo chukua Ethiopian Airlines' andaa milioni 1 na laki 9 tu
Hao wahuni asithubu kupanda ac zao miyeyusho na sasa hivi wamepandisha beiAirTanzania is the cheapest na huduma nzuri
Visa 90$
Usafiri kama 350$ hivi
Huo ni uongooo nenda ofisi za ATCL kakate ticketHao wahuni asithubu kupanda ac zao miyeyusho na sasa hivi wamepandisha bei
Wewe sio mzalendo😂😂😂😂😂😂😂ATCL
Salam wadau.
Naomba kufaham Shirika la ndege lenye bei nafuu kwa trip ya Dar es Salaam kwenda Dubai. Shirika hilo likiwa na huduma ya VISA itapendeza zaidi.
Naomba kuwasilisha wadau
Yes huduma zinaweza zisifikie Kwa wenzetu but wenzetu walianza km sisi mpk wakafikia huko,tupende vyetu ndugu tunajua sikila kitu kipo sawa lkn tuanze na vyetu mengine yafuateEthopia na Fly Dubai ndio cheapest. ATCL sio shirika la kuaminika kwa chochote
Daaah bro. We ni mtanzania?Hao wahuni asithubu kupanda ac zao miyeyusho na sasa hivi wamepandisha bei
Yes huduma zinaweza zisifikie Kwa wenzetu but wenzetu walianza km sisi mpk wakafikia huko,tupende vyetu ndugu tunajua sikila kitu kipo sawa lkn tuanze na vyetu mengine yafuate
Ushamba ndhigoHamna shirika lenye visa ndugu yangu hapo chukua Ethiopian Airlines' andaa milioni 1 na laki 9 tu