Dodoma Demand
Senior Member
- Oct 6, 2021
- 130
- 74
- Thread starter
-
- #21
Yawezekana ndio siasa zinazotakiwa tatizo bado kujenga tuMabavicha yatakwambia hayo ni maendeleo ya vitu.
Pia yatakwambia dodoma kuna kitu gani cha maana mpka zijengwe hizo nyumba?
Haya mafuasi ya mr belgiji yana kazi sana
Kweli tulipata Uhuru wa kwanza Russia (Tanganyika Mwaka 1986 ambapo ni Nchi pekee ambayo Queen wa Uingeleza anaijua) baada ya hapo uhuru mwingine tukapata IKULU (Tanzania mwaka 1964 ambapo TANGANYIKA na Zanzibar ziliunganaDodoma inarudi Dar kimya kimya
Maprofesa wa kizungu aliwadharauDodoma inarudi Dar kimya kimya
Maprofesa wa kizungu aliwadharau yawezekana SAMIA hawadharauππππPia alisema viatu vya Mwendazake havimtoshi
Sasa hivi wakurugenzi wa mashirika karibia yote ni Waislamu
NHC wameamua kutumia UCHAWI ili miji ING'ARE..... Zaidi ya magorofa 500 yameota maeneo ya Nzuguni DODOMA leo... Kwa sasa HALMASHAURI YA JIJI INAANGAIKA KUMILIKISHA WATU MAGOROFA HAYO... HAKIKA UCHAWI UNALIPA BADALA YA KUJENGA UNAKUTA MAJENGO YAMEOTA KAMA UYOGA, MAHARAGE.... yanavutia.Usituletee udini hapa punguani wewe
Zitaisha tuZA chato zimeisha?