Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Habari waungwana!
Naomba kuelezea kwa ufupi juu ya hujuma/ uhuni unaofanywa na wahudumu wa posta baadhi ya matawi.
- Wahudumu wanawalazimisha watu watume barua kwa njia ya EMS. Ninaposema kulazimisha namaanisha hawakushikii bunduki bali wanakwambia hii ndio njia ya haraka, wakikuona unajua taratibu wanakwambia barua isipofika usinilaumu.
Hivi kwa mfano tangazo la kazi limetolewa Dar es Salaam na mwajiri hajalazimisha utumie EMS kuna ulazima gani kumfosi mtu atumie njia ya EMS huku na yeye yuko hapahapa Dar es Salaam na deadline ni siku 12 mbele?.
Nimewahi kutumiwa kifurushi(kopi za vyeti) kutoka Lindi kwa njia ya EMS nilikipata kifurushi baada ya kupita wiki moja tena walinitaka nikifuate Mimi mwenyewe posta mpya badala ya wao kuniletea au kuniwekea kwenye box langu. Hapo kuna umuhimu gani wa kutumia hii njia ya ems ambayo ni expensive na tunaambiwa ni ya haraka?.
-Kuna rafiki yangu yuko wilaya moja hivi huko Lindi alipeleka barua posta aitume Dar wanamwambia atumie EMS, alipomwambia mhudumu njia ya kawaida anaambiwa itachelewa na inabidi atumie 6000 sh. While ems atumie 15000.
Hata kama una vyeti vingi kama Professor na uweke na vyeti vya ndoa pamoja na kipaimara huwezi kutumia stamps za SH.6000.
TPC hebu wachunguzeni wahudumu wenu.
Huenda mmewapa mpango kazi wa kukusanya kiwango fulani annually na wao wanatumia kila njia ikiwemo kuwasukumia watu kwenye EMS ili kufikia lengo. Au wanajiongeza ili wapate ridhiki (embezzlement).
Dunia inabadilika, serikali kuna umuhimu wa kuondoa haya mashiklrika au kuyaboresha maana hii mifumo ya monopoly ishaisha muda wake.
Naomba kuelezea kwa ufupi juu ya hujuma/ uhuni unaofanywa na wahudumu wa posta baadhi ya matawi.
- Wahudumu wanawalazimisha watu watume barua kwa njia ya EMS. Ninaposema kulazimisha namaanisha hawakushikii bunduki bali wanakwambia hii ndio njia ya haraka, wakikuona unajua taratibu wanakwambia barua isipofika usinilaumu.
Hivi kwa mfano tangazo la kazi limetolewa Dar es Salaam na mwajiri hajalazimisha utumie EMS kuna ulazima gani kumfosi mtu atumie njia ya EMS huku na yeye yuko hapahapa Dar es Salaam na deadline ni siku 12 mbele?.
Nimewahi kutumiwa kifurushi(kopi za vyeti) kutoka Lindi kwa njia ya EMS nilikipata kifurushi baada ya kupita wiki moja tena walinitaka nikifuate Mimi mwenyewe posta mpya badala ya wao kuniletea au kuniwekea kwenye box langu. Hapo kuna umuhimu gani wa kutumia hii njia ya ems ambayo ni expensive na tunaambiwa ni ya haraka?.
-Kuna rafiki yangu yuko wilaya moja hivi huko Lindi alipeleka barua posta aitume Dar wanamwambia atumie EMS, alipomwambia mhudumu njia ya kawaida anaambiwa itachelewa na inabidi atumie 6000 sh. While ems atumie 15000.
Hata kama una vyeti vingi kama Professor na uweke na vyeti vya ndoa pamoja na kipaimara huwezi kutumia stamps za SH.6000.
TPC hebu wachunguzeni wahudumu wenu.
Huenda mmewapa mpango kazi wa kukusanya kiwango fulani annually na wao wanatumia kila njia ikiwemo kuwasukumia watu kwenye EMS ili kufikia lengo. Au wanajiongeza ili wapate ridhiki (embezzlement).
Dunia inabadilika, serikali kuna umuhimu wa kuondoa haya mashiklrika au kuyaboresha maana hii mifumo ya monopoly ishaisha muda wake.