Shirika la Posta, linaweza kuja kuwa shirika tajiri endapo litajigeuza na kuwa kama Alibaba

Shirika la Posta, linaweza kuja kuwa shirika tajiri endapo litajigeuza na kuwa kama Alibaba

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Umefika wakati sasa, shughuli zote za uagizaji wa vifurushi na mizigo zikafanywa na shirika letu la Posta, pekee, pamoja na makampuni ambayo yatakuwa yamesajiliwa rasmi nchini Tanzania katika kusaidiana na shirika hilo kwa vibali maalumu,
- Umuhimu wa suala hili ni kwamba serekali yetu tukufu chini ya mama Samia Suluhu hassan itaweza kukusanya kodi zake kikamilifu bila janja janja /
SIO VIBAYA KUPATA ALIBABA YETU YA KITANZANIA,

Faida!
° bima za vifurushi(vinavyo agizwa)
°Kodi stahiki (tra)
°money transfer fee (Banker)
°delivery service fee (ttcl)
°Storage fee (ttcl)
°Out source fee (ttcl)
°& Etc!

POSTA KIHISTORIA NI SHIRIKA AMBALO LINAAMINIKA SANA, HIVYO USALAMA UTAKUWA 100%, ISITOSHE LINA MATAWI KOTE TANZANIA BARA NA VISIWANI.
-HAKUNA UBAYA KU MONOPOLISE UAGIZAJI WA VIFURUSHI NJE TUKALIPA SHIRIKA HILI.
-SIO VIBAYA POSTA WAKAWA KARIBU NA CARGO FLIGHT YETU KAZI IKANOGA!
 
Umefika wakati sasa, shughuli zote za uagizaji wa vifurushi na mizigo vikafanywa na shirika letu la Posta, pekee, aidha makampuni ambayo yatakuwa yamesajiliwa rasmi nchini Tanzania, umuhimu wa suala hili ni kwamba serekali yetu tukufu chini ya mama Samia Suluhu hassan itaweza kukusanya kodi zake kikamilifu bila janja janja /
SIO VIBAYA KUPATA ALIBABA YETU YA KITANZANIA,
Faida!
° bima za vifurushi
°Kodi stahiki
°money transfer fee
°delivery service fee
°& Etc!
POSTA KIHISTORIA NI SHIRIKA AMBALO LINAAMINIKA SANA, HIVYO USALAMA UTAKUWA 100%, ISITOSHE LINA MATAWI KOTE TANZANIA BARA NA VISIWANI.
siku sukita ikifufuka tutajadili hili wazo lako
 
Umefika wakati sasa, shughuli zote za uagizaji wa vifurushi na mizigo vikafanywa na shirika letu la Posta, pekee, aidha makampuni ambayo yatakuwa yamesajiliwa rasmi nchini Tanzania, umuhimu wa suala hili ni kwamba serekali yetu tukufu chini ya mama Samia Suluhu hassan itaweza kukusanya kodi zake kikamilifu bila janja janja /
SIO VIBAYA KUPATA ALIBABA YETU YA KITANZANIA,
Faida!
° bima za vifurushi
°Kodi stahiki
°money transfer fee
°delivery service fee
°& Etc!
POSTA KIHISTORIA NI SHIRIKA AMBALO LINAAMINIKA SANA, HIVYO USALAMA UTAKUWA 100%, ISITOSHE LINA MATAWI KOTE TANZANIA BARA NA VISIWANI.
Wazo nzuri ila waliopo hapo posta hawana huwezo huo wa kutekeleza maana ni wazee mawazo yao kwenye tekinolijia wanajua ticktok tu
 
SHIRIKA LA KILIMO NA UFUGAJI, WALILIKULA LOTE!,
-Lakini kumbuka mfumo ninaouzungumzia utakuwa ni DIGATAL, MKUU.
Unalipa digital, unapewa cost digital......
under this government no profit making business can work
trust me
bank zote giants hapa nchini zilikuwa under the same government, zikawa zinazalisha loss
labda uwashauri wauze hilo shirika , ndani ya mwaka tu litakuwa linazalisha faida
 
under this government no profit making business can work
trust me
bank zote giants hapa nchini zilikuwa under the same government, zikawa zinazalisha loss
labda uwashauri wauze hilo shirika , ndani ya mwaka tu litakuwa linazalisha faida
Hakuna ubaya endapo wanaingia ubia wa 49% share na kampuni la kachina maana ndipo tunapofanyia manunuzi zaidi.
 
Shirika la Posta kuna tatizo la ubunifu. Posta pamoja na kuwa na masanduku ya barua kila kona ya nchi hii, Bado wameshindwa kuunganisha huduma ya vifurishi na ujumbe wa maneno wa mitandao ya simu ili visomane.
Lakini pia wameshindwa hata kutafuta mawakala wa kusafirisha mizigo na vifurishi, wakiyatumia mashirika ya usafirishaji binafsi na yale ya umma kama TRL, Air Tanzania na mabasi ya abiria. Posta wapo wapo tu ndani ya usingizi wa pono. Pathetic 😢
 
Umefika wakati sasa, shughuli zote za uagizaji wa vifurushi na mizigo zikafanywa na shirika letu la Posta, pekee, pamoja na makampuni ambayo yatakuwa yamesajiliwa rasmi nchini Tanzania katika kusaidiana na shirika hilo kwa vibali maalumu,
- Umuhimu wa suala hili ni kwamba serekali yetu tukufu chini ya mama Samia Suluhu hassan itaweza kukusanya kodi zake kikamilifu bila janja janja /
SIO VIBAYA KUPATA ALIBABA YETU YA KITANZANIA,

Faida!
° bima za vifurushi(vinavyo agizwa)
°Kodi stahiki (tra)
°money transfer fee (Banker)
°delivery service fee (ttcl)
°Storage fee (ttcl)
°Out source fee (ttcl)
°& Etc!

POSTA KIHISTORIA NI SHIRIKA AMBALO LINAAMINIKA SANA, HIVYO USALAMA UTAKUWA 100%, ISITOSHE LINA MATAWI KOTE TANZANIA BARA NA VISIWANI.
-HAKUNA UBAYA KU MONOPOLISE UAGIZAJI WA VIFURUSHI NJE TUKALIPA SHIRIKA HILI.
-SIO VIBAYA POSTA WAKAWA KARIBU NA CARGO FLIGHT YETU KAZI IKANOGA!
Yani kama hupo ccm basi pole sana. Shirika la posta ufananishe na alibaba.
Sawa na kusema maji na bia
 
Basi ushauri wako ni mzuri sana, ngoja niukopi na kumtumia bwana Mchechu
Mkuu hapo ni, ku-monopolise, na kuweka mifumo ya digital, then kujenga uhusiano wa karibu na atcl, unamalizia watu wa sourcing China, pesa inatiririka tu.
 
Umefika wakati sasa, shughuli zote za uagizaji wa vifurushi na mizigo zikafanywa na shirika letu la Posta, pekee, pamoja na makampuni ambayo yatakuwa yamesajiliwa rasmi nchini Tanzania katika kusaidiana na shirika hilo kwa vibali maalumu,
- Umuhimu wa suala hili ni kwamba serekali yetu tukufu chini ya mama Samia Suluhu hassan itaweza kukusanya kodi zake kikamilifu bila janja janja /
SIO VIBAYA KUPATA ALIBABA YETU YA KITANZANIA,

Faida!
° bima za vifurushi(vinavyo agizwa)
°Kodi stahiki (tra)
°money transfer fee (Banker)
°delivery service fee (ttcl)
°Storage fee (ttcl)
°Out source fee (ttcl)
°& Etc!

POSTA KIHISTORIA NI SHIRIKA AMBALO LINAAMINIKA SANA, HIVYO USALAMA UTAKUWA 100%, ISITOSHE LINA MATAWI KOTE TANZANIA BARA NA VISIWANI.
-HAKUNA UBAYA KU MONOPOLISE UAGIZAJI WA VIFURUSHI NJE TUKALIPA SHIRIKA HILI.
-SIO VIBAYA POSTA WAKAWA KARIBU NA CARGO FLIGHT YETU KAZI IKANOGA!
Yani nna mzigo wangu mdogo mdogo nataka unifikie huku nangurugai Ruangwa ndani ndani eti niupeleke posta nisubir uletwe ndani ya wiki na wakati kwenye Buti la zungu au maning nice,naupata the very same day…..Iko hivi watu wengi tumekimbia huduma za posta kutokana na ubovu wa huduma hizo…..kitu pekee naweza tuma kupitia posta tena ile EMS ni vyeti vya kitaaluma na mikataba hard copy
 
Posta na TTCL siku watakayoacha mazoea ndo siku hayo mashirika yatakapokuwa tajiri tz. Bila kumsahau yule mzee aliyepo BOT aliyeweka sera ya kuzuia kupokea malipo ya PAYPAL.
 
Umetoa wazo zuri mkuu.
Serikali ikulipe Kwa wazo zuri na walifanyie kazi.
Posta ikijiweka kisasa watatengeneza pesa nyingi sana.
Poa TTCL nao wabuni mbona voda, TIGO wamewazidi?
 
Back
Top Bottom