Uchaguzi 2020 Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) limesikitishwa na kitendo uongozi wa CHADEMA kuwakemea na kuwafukuza watangazaji wake

Ukitaka kujua ni tatizo wangeguswa ata wale jamaa wa CPJ waliompa Melo tuzo ungewasikia.

Uwezi tishia usalama wa waandishi wa habari ndio maana ata katikati ya vita ukiuwa mwandishi wa habari hakuna atakae kuunga mkono.
mbona mtoto pwenda alivamia kituo cha tv? Azam wameonesha TL akiomba michango ina maana hana alichoongea zaid ya michango? Tena wameonesha jukwaa tu. Kisha wakamuonesha polepole dk kibao, wamefanya vizur kuwatimua wanafik, Mbowe kesho timua Azam
 
Hivi polisi wanataka wananchi wawe na uzalendo upi huo wakati wana shida lukuki, uzalendo hauwezi kutokea wakati watu wana njaa hadi mifukoni mwao at the same time walioshiba wanawambia wawe wazalendo
 
Tibiisii, chaneliten na staatiivii ni miongoni mwa media hawajitambui wao ni nani na wanapaswa kufanya nini...
 
Kwanini mlikuwa mnakata matangazo kwakuingiza maneno ya watangazaji
 
kwa sasa inasitisha rasmi kurusha matangazo ya CHADEMA hadi hapo watendaji wake watakapohakikishiwa usalama.
 
[SUB]TBC hawakupaswa kulalamika wanakusanya habari za nini iwapo hawazirushi kwenye radio na tv. Wafukuzwe tu kwa TBC wamepoteza direction. [/SUB]
 
Alisikika .... akisema
 
Sio tu chadema..... Watz wote hawaitaki tbc hata pale mwenyekiti aliwauliza watz waliomjibu WATOKEEE.....
 

Akili za kilevi, washitaki nini? Kwani waliwaita au yalijipeleka?
 
Shirika la hovyo sana,
Kuanzia watangazaji,wanavaa hovyo,
leo kipindi Cha magazeti mtangazaji wa kiume,anaonewkana Kama ana hangover,anaongea Kama kalazimishwa,hakuna "chemistry"yoyote na mwenzake wa kike,(wanaoangslia citizen ya Kenya wataelewa hili),alikuwa anamwangalia mwenzake Kama anataka kumrukia vile,wapigane pipe
 
Umbwa ww
 
Wasichanganye habari hawakufukuzwa na Chadema bali walifukuzwa na wenye TBC (wananchi).CDM waliomba tu mwongozo kutoka kwa wamiliki wa TBC (wananchi)amabo ndio waliofanya maauzi ya kuwaondoa
 
Libadili jina, liwe shirika LA utangazaji Lumumba (LBC)
Miaka ya nyuma jina lumumba lilikuwa na heshima kwasababu ya mwanamapinduzi Patrice Emily Lumumba Leo hii kwasababu ya CCM jina lumumba linatumika Kama kejeli.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…