TBC hawakupaswa kuondoka ktk eneo hilo, wameonyesha unyonge sana! jeshi la polisi lilikuwepo ambalo lipo pale kulinda watu wote na mali zao kwa nn waliondoka kutii amri ya mbowe?!huu ni udhaifu!! hawakupaswa kuondoka maana walikuwa pale kuripoti, na ifahamike kuwa tbc ni chombo cha wananchi wote,
ombi langu kwa uongozi, pangeni safu yenu vizuri ktk kipindi hiki cha kampeni, wekeni watu makini na imara ktk mchakamchaka huu, ondoeni watu walegevu na wasio jiamini........sio unaambiwa toka basi unaondoka kama vile mwizi au kibaka !!
lkn pia kauli ya mbowe kuwa fukuza waandishi kama wezi ambao walikuwa kazini ni kitendo cha uchochezi