SHIEKA
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,240
- 4,265
Shirika moja kubwa la hifadhi ya jamii limetengeneza tangazo la kusifia huduma zake.
Tangazo liko hivi: Mtu mmoja anaingia kwenye nyumba asiyoijua vizuri, na mara anamkuta mwenye nyumba ambaye anamwuliza mgeni: 'Unataka nini?
Jibu:Nilitaka nipate kazi.
Hivi kweli, wanaotafuta kazi ndivyo wanavyosema?
Mimi nafikiri wanaotafuta kazi husema:Naomba kazi kama ipo.
Na huyu kwenye tangazo kwa kuwa ameingia nyumbani kwa mtu ambaye hajatangaza nafasi yoyote ya kazi, angesema: Naomba kazi yoyote kama ipo. Lakini eti, nilitaka nipatee kazi.
Kama umelisikia hilo tangazo utakubaliana namikwamba lugha iliyotumika si sahihi.
Hata hivyo kwa kuwa ni tangazo linaisha kwa mtafutaji kupewa kazi na kusema yale ambayo shirika lilitaka yasemwe kwa kujitangaza.
Tangazo liko hivi: Mtu mmoja anaingia kwenye nyumba asiyoijua vizuri, na mara anamkuta mwenye nyumba ambaye anamwuliza mgeni: 'Unataka nini?
Jibu:Nilitaka nipate kazi.
Hivi kweli, wanaotafuta kazi ndivyo wanavyosema?
Mimi nafikiri wanaotafuta kazi husema:Naomba kazi kama ipo.
Na huyu kwenye tangazo kwa kuwa ameingia nyumbani kwa mtu ambaye hajatangaza nafasi yoyote ya kazi, angesema: Naomba kazi yoyote kama ipo. Lakini eti, nilitaka nipatee kazi.
Kama umelisikia hilo tangazo utakubaliana namikwamba lugha iliyotumika si sahihi.
Hata hivyo kwa kuwa ni tangazo linaisha kwa mtafutaji kupewa kazi na kusema yale ambayo shirika lilitaka yasemwe kwa kujitangaza.