Shirikisho la EAC lipo lakini hatulijali

Shirikisho la EAC lipo lakini hatulijali

Poppy Hatonn

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2021
Posts
3,095
Reaction score
4,632
Kama ushirikiano ungeweza kukuzwa zaidi katika EAC, ingekuwa ni jawabu kwa matatizo ya usalama yaliyopo DRC au South Sudan na Somalia. Hata Kenya sasa hivi kuna instability because of our nonchalant attitude towards the EAC.
 
Bado tuna viongozi wa hovyohovyo huko Rwanda, nadhani ndio maana Kila nchi inaenda kwa tahadhari
 
Back
Top Bottom