Miss Zomboko
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 4,599
- 9,532
Hatua za robo fainali, nusu fainali na fainali zitachezwa jijini Lisbon kuanzia tarehe 12-23 Agosti huku timu zilizosalia kucheza mechi za marudiano hatua ya 16 bora kama Chelsea na Bayern Munich na Manchester City na Real Madrid kusemekana kuchezwa kwenye Viwanja vyao binafsi.
Mpango huu umependekezwa kwa ajili ya kumaliza mashindano mapema kuliko kucheza kama kawaida nyumbani na ugenini, mfumo huu pia utatumika kumaliza mashindano ya Europa nchini Ujerumani.