Shirikisho la soka nchini Nigeria lapiga marufuku kushangilia kwa mtindo wa Baltazar

Shirikisho la soka nchini Nigeria lapiga marufuku kushangilia kwa mtindo wa Baltazar

mdukuzi

JF-Expert Member
Joined
Jan 4, 2014
Posts
20,925
Reaction score
51,688
Shirikisho la soka nchini Nigeria limepiga marufuku wachezaji nchini humu kushsngilia kwa mtindo mpya wa Bathazal ambapo mchezaji wa timu ya Shooting Stars aitwaye Mustafa alishangilia baada ya kuipatia timu yake goli muhimu shidi ya wapinzani wao El Kanemi

Katika tukio hilo Mustafa alifanya kama analamba mkono wake wa kia na kisha kuushusha kwenye bukta kabla ya kuweka mikono yote kifuani na kuanza kukata mauno.

Ikimbukwe kwa sheria za FIFA ukishangilia kwa kuinyesha dole la kati,au ukatumia ishara yoyote ya matusi utakumbana na faini na kufungiwa mechi kati ya mbili au tatu.

Benard Morison angekuwa Tanzania kwa kile kiwango alichokuja nacho lazima angeingia kwenye huu mtego
 
Shirikisho la soka nchini Nigeria limepiga marufuku wachezaji nchini humu kushsngilia kwa mtindo mpya wa Bathazal ambapo mchezaji wa timu ya Shooting Stars...
Jina la Baltazar limepata umaarufu sana! Kuna watu wataenda mahakamani na kulikana ili wabadilishe jina!
 
Hii style ilifaa itumike na vijana wà Tabora United.
Hapana, hii ingefaa ile siku Makolo wanapigwa TANO na Young Africans ingenoga sanaa...walipigwa nyingi kama jamaa alivyowavurugua wengi

Binafsi sio mshabiki wa timu yoyote ila siku ile ingependeza sana
 

Attachments

  • images (91).jpeg
    images (91).jpeg
    56.4 KB · Views: 6
Back
Top Bottom