NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
NALIA NGWENA Leo nimechanganyikiwa baada ya kuona ukurasa wa Azam sports ukiposti ujumbe huu
#ASFC: Machi 2, 2024, wapiga picha wa Mtibwa Sugar, waliipiga picha hii wakati kikosi cha timu hiyo kilipoifunga Singida Fountain Gate 2-0 kwenye mchezo wa NBC Premier League katika dimba la CCM Kirumba pale Mwanza.
Leo majira ya saa 3:00 usiku, Mtibwa itamenyana na Azam FC kwenye mchezo wa michuano ya #AzamSportsFederationCup utakaopigwa katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
Je, picha kama hii ya wachezaji wa Mtibwa Sugar, wakishangilia goli itapatikana leo?
Mechi itakwua LIVE #AzamSports1HD
(Imeandikwa na @allymufti_tz )
#ASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #AzamFC #MtibwaSugar
Kwa muonekano huu Kuna kitu hakipo sawa wadau wa mpira tumeshindwa kuelewa hii michuano ni Ya Azam au CRDB??
TFF Sijui mnafeli wapi katika hili kulitolea MAELEZO??
#ASFC: Machi 2, 2024, wapiga picha wa Mtibwa Sugar, waliipiga picha hii wakati kikosi cha timu hiyo kilipoifunga Singida Fountain Gate 2-0 kwenye mchezo wa NBC Premier League katika dimba la CCM Kirumba pale Mwanza.
Leo majira ya saa 3:00 usiku, Mtibwa itamenyana na Azam FC kwenye mchezo wa michuano ya #AzamSportsFederationCup utakaopigwa katika dimba la Azam Complex, Chamazi.
Je, picha kama hii ya wachezaji wa Mtibwa Sugar, wakishangilia goli itapatikana leo?
Mechi itakwua LIVE #AzamSports1HD
(Imeandikwa na @allymufti_tz )
#ASFC #AzamSportsFederationCup #KombeLaShirikishoLaAzamSports #AzamFC #MtibwaSugar
Kwa muonekano huu Kuna kitu hakipo sawa wadau wa mpira tumeshindwa kuelewa hii michuano ni Ya Azam au CRDB??
TFF Sijui mnafeli wapi katika hili kulitolea MAELEZO??