Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Shirikisho la Soka Tanzania (TFF) limemtangaza Kim Poulsen raia wa Denmark kuwa Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa (Taifa Stars)
- Poulsen anachukua nafasi ya Kocha Ettiene Ndayiragije ambaye mkataba wake umevunjwa.
Alishawahi kuwa Kocha wa Taifa Stars (2012-2014)
- Poulsen anachukua nafasi ya Kocha Ettiene Ndayiragije ambaye mkataba wake umevunjwa.
Alishawahi kuwa Kocha wa Taifa Stars (2012-2014)