Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
WalimfukuzaNchi hii buana,aliondoka kwa sababu gani, na anarudi kwasababu zipi?
Kwa sababu zipi?Walimfukuza
Kim Paulsen ni yule aliyekuwa akiwafundisha Serengeti Boys! Na baadae akafanywa kimy kimya kuwa Mkurugenzi wa Ufundi wa TFF. Kile kibabu kilicho kuja na huyu Kim kinaitwa Jan Paulsen.Hao kina Paulsen wapo wawili.
Kuna yule mmoja alikua anafundisha Taifa stars na mwingine alikua Serengeti boys, na baadae akaja kufundisha Taifa stars.
Sasa ni yupi kati yao alie rudi?
Binafs kama karudi yule alienza kufundisha Serengeti boys, tume pata bonge la kocha.
Hapa kula matapishi yetu sio kosa.
Lakini akiwa yule babu alie kua akifundisha Taifa stars, hapo tumejichanganya.
hatimae kaondokaKama vigezo anavyo hakuna shida