Shirikisho: Simba SC 1-2 Coastal Union

Danny greeny

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2014
Posts
3,856
Reaction score
1,648
Leo ni mechi ya Simba SC na Coastal union inayochezwa uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.
===

Nukuu Muhimu
  • Timu ya Coastal union kutoka walianza kuandika bao la kuongoza mnamo dakika ya 19 kupitia kwa Sabo kupitia mpira wa adhabu ndogo ambao alifanikiwa kuukwamisha moja kwa moja nyavuni.
  • Baada ya kurudi mapumziko Simba wanafanya mabadiliko mawili kwa Awadhi Juma na Hamis Kiiza kuchukua nafasi za Ndemla na Majavi.
  • Dakika ya 49 Simba wanasawazisha bao kupitia kwa Kiiza baada ya kuunganisha mpira mzuri kutoka mpira kutoka kwa Ajib.
  • Kuelekea lala salama, Simba wanapata kadi nyekundu dakika ya 83 baada ya Lufunga kumuangusha Shiboli katika eneo la hatari hivyo kupata kadi nyekundu na coastal kupata penati.
  • Dakika ya 85, Coastal wanaandika bao la pili kwa mkwaju wa penati kupitia kwa Sabo ambae ameandika mabao mawili kwa siku ya leo.
  • Mpira umeisha kwa hitimisho la Simba kufungwa magoli mawili kwa moja na Coastal Union.
 
simba 1 coastal union 2. Bao la penati huku mchezaji wa simba akitolewa na kadi nyekundu baada ya kumkwatua mchezaji wa coastal union aliyekuwa anakwenda kuona nyavu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…