Shishi Food angekuwepo kwenye ziara ya Korea Kusini maana kule kuna migahawa mingi angalau angekuja na jibu

Shishi Food angekuwepo kwenye ziara ya Korea Kusini maana kule kuna migahawa mingi angalau angekuja na jibu

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Joined
Feb 1, 2023
Posts
5,771
Reaction score
14,732
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana.

Biashara ya chakura korea hipo tofauti na uwezi kuona biashara zina fanana yani huyu akipika wali wa chunvi mwengine anapika wali sukari.

Mazingira ya baishara ya migahawa ingeweza kumfungua shishi na kuwasanua wenzake kuwa chakura ni uhai na kina biashara.

Sasa mnampeleka stive nyerere anakuja huku kutuambia anataka bima ya afya na mdomo wake utazani samaki wakavu wa mwanza
 
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana.

Biashara ya chakura korea hipo tofauti na uwezi kuona biashara zina fanana yani huyu akipika wali wa chunvi mwengine anapika wali sukari.

Mazingira ya baishara ya migahawa ingeweza kumfungua shishi na kuwasanua wenzake kuwa chakura ni uhai na kina biashara.

Sasa mnampeleka stive nyerere anakuja huku kutuambia anataka bima ya afya na mdomo wake utazani samaki wakavu wa mwanza
Hiyo "ila" haiendani na ulichoandika kwani huwa inatumika kuleta picha tofauti ya kukosoa/kupinga ulichoandika mwanzo.

Wenyewe wanadai walienda watu wa kiwanda cha movies kwenda kujioena na kujifunza Toka kwa wenzao
 
Samaki kamongo au Sato ?by the way walienda kujifunza tasinia ya uigizaji sio mapishi

USSR
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana.

Biashara ya chakura korea hipo tofauti na uwezi kuona biashara zina fanana yani huyu akipika wali wa chunvi mwengine anapika wali sukari.

Mazingira ya baishara ya migahawa ingeweza kumfungua shishi na kuwasanua wenzake kuwa chakura ni uhai na kina biashara.

Sasa mnampeleka stive nyerere anakuja huku kutuambia anataka bima ya afya na mdomo wake utazani samaki wakavu wa mwanza
kamongo au
 
Mnatafuta njama za kumsafilishia n remix lake. Na icho ndio chanzo cha wimbo mpya wakati huu.





KAZI ni kipimo cha UTU
 
Back
Top Bottom