Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana.
Biashara ya chakura korea hipo tofauti na uwezi kuona biashara zina fanana yani huyu akipika wali wa chunvi mwengine anapika wali sukari.
Mazingira ya baishara ya migahawa ingeweza kumfungua shishi na kuwasanua wenzake kuwa chakura ni uhai na kina biashara.
Sasa mnampeleka stive nyerere anakuja huku kutuambia anataka bima ya afya na mdomo wake utazani samaki wakavu wa mwanza
Biashara ya chakura korea hipo tofauti na uwezi kuona biashara zina fanana yani huyu akipika wali wa chunvi mwengine anapika wali sukari.
Mazingira ya baishara ya migahawa ingeweza kumfungua shishi na kuwasanua wenzake kuwa chakura ni uhai na kina biashara.
Sasa mnampeleka stive nyerere anakuja huku kutuambia anataka bima ya afya na mdomo wake utazani samaki wakavu wa mwanza