Shitaka la jinai linapochelewa kupelekwa mahakamani laweza kosa nguvu kisheria?

Shitaka la jinai linapochelewa kupelekwa mahakamani laweza kosa nguvu kisheria?

Anold

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2010
Posts
1,456
Reaction score
615
Jirani yangu mwaka wa jana December aliripoti Polisi tukio la kutishiwa kuuwawa na mtu mmoja, pamoja na kuripoti mapema, Polisi walichukuwa muda kwenda kumkamata mtuhumiwa kitu kilichosababisha mtuhumiwa atoroke kukwepa kukamatwa na Polisi, kwakuwa mtuhumiwa ni mkazi wa eneo hilohilo kwa kuzaliwa ila makazi yake ni nje ya eneo hilo Polisi walitoa wito wa kuitwa shaurini mtuhumiwa kupitia kwa Baba yake mtuhumiwa. Pamoja na wito huo sasa ni karibu miezi miwili mtuhumiwa hajatokea na hakuna dalili kuwa atatokea. je ni hatua gani mlalamikaji anaweza kuchukua ili kesi hii iende mahakamani kwani mashahidi walioshuhudia tukiohilo sio wakazi wa hapo na wanaweza kuondoka wakati wowote je kesi hiyo inaweza kusikilizwa upande mmoja bila kuwepo mlalamikaji? wataalam naomba ushauri wenu ili tumsaidie huyu jirani.
 
Jirani yangu mwaka wa jana December aliripoti Polisi tukio la kutishiwa kuuwawa na mtu mmoja, pamoja na kuripoti mapema, Polisi walichukuwa muda kwenda kumkamata mtuhumiwa kitu kilichosababisha mtuhumiwa atoroke kukwepa kukamatwa na Polisi, kwakuwa mtuhumiwa ni mkazi wa eneo hilohilo kwa kuzaliwa ila makazi yake ni nje ya eneo hilo Polisi walitoa wito wa kuitwa shaurini mtuhumiwa kupitia kwa Baba yake mtuhumiwa. Pamoja na wito huo sasa ni karibu miezi miwili mtuhumiwa hajatokea na hakuna dalili kuwa atatokea. je ni hatua gani mlalamikaji anaweza kuchukua ili kesi hii iende mahakamani kwani mashahidi walioshuhudia tukiohilo sio wakazi wa hapo na wanaweza kuondoka wakati wowote je kesi hiyo inaweza kusikilizwa upande mmoja bila kuwepo mlalamikaji? wataalam naomba ushauri wenu ili tumsaidie huyu jirani.
jamani JF hakuna wanasheria wanaopitapita humu? au mpaka uende ofisini kwao?
 
Back
Top Bottom