SHIVJI: Utatanishi na Ukimya wa Rasimu ya Katiba Mpya (Recorded)

SHIVJI: Utatanishi na Ukimya wa Rasimu ya Katiba Mpya (Recorded)

UFUNUO WA TANZANIA

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
471
Reaction score
166
Kama hukubahatika kumsikiliza Prof Shivji katika muhadhara alioutoa pale UDSM kuhusu katiba Mpya na uchambuzi wake Mfuatilie sasa kupitia ITV
Anazungumzia
Mtazamo wake (Perspective)
Udhani wake (Hypothesis)
Moyo wa Katiba
Muundo wa Katiba
 
  • Thanks
Reactions: LGF
Professor unaonaje tukiwa na serkali tatu tanganyika iwe na mamlaka kama ilivyo zanzibar kuliko povu za assumptions unazotoa sasa hivi kwenye jukwaa. Muache kuiua tanganyika kwa mambo ambyo hayapo. Hapa naona uccm unawasumbua na wewe hutumii weledi wowote unaegemea matakwa ya ccm. Kwahiyo kwa mukhtadha wa mada yako unasemaje kuhusu muungano?
 
Maoni yangu ni kwamba wana Tanganyika wanaitaka Tanganyika yao, Shivji na wenzake wanaotaka kuififisha hoja hiyo kwa vitisho dhaifu kama gharama za uendeshaji na uwezekano wa kuvunjika muungano wafanye hivyo wakijua kuwa watanganyika hawawezi kudanganyika kiurahisi kiasi hicho, Kuhusu gharama ni wazi kondoo hawezi kushindwa kubeba mkia wake, Vile vile Tanganyika haiwezi kutolewa kafara au kuwa held hostage kwa lengo la kuuponya Muungano Usio na sababu za msingi ukiachilia suala la kuoleana. lakini vile vile heshimuni kodi za watanganyika na wazanzibar zilizotumika kwenye ukusanyaji maoni kwa kuzingatia maoni yaliyotolewa na walio wengi, haya yasipofanyika jibu mnalo kwamba hata polisi wakipiga wananchi kama walivyoamriwa na Pinda na kulazimisha kupitishwa kwa mawazo ya wachache katika serikali, Vuguvugu la kudai Tanganyika litaendelea kuwa political battle cry ya watanganyika mpaka litakapokuwa realized, Ndiyo, mchakato wa kuidai Tanganyika waweza kuwa Costly hata kusababisha watu wengi kuumizwa na hata kuuawa lakini ni wazi kwamba Ndoto ya kuwa na serikali ya Tanganyika inastahili kulipiwa gharama za kutosha kwani ni ndoto tamu.:angry:
 
maoni yangu ni kwamba wana tanganyika wanaitaka tanganyika yao, shivji na wenzake wanaotaka kuififisha hoja hiyo kwa vitisho dhaifu kama gharama za uendeshaji na uwezekano wa kuvunjika muungano wafanye hivyo wakijua kuwa watanganyika hawawezi kudanganyika kiurahisi kiasi hicho, kuhusu gharama ni wazi kondoo hawezi kushindwa kubeba mkia wake, vile vile tanganyika haiwezi kutolewa kafara au kuwa held hostage kwa lengo la kuuponya muungano usio na sababu za msingi ukiachilia suala la kuoleana. Lakini vile vile heshimuni kodi za watanganyika na wazanzibar zilizotumika kwenye ukusanyaji maoni kwa kuzingatia maoni yaliyotolewa na walio wengi, haya yasipofanyika jibu mnalo kwamba hata polisi wakipiga wananchi kama walivyoamriwa na pinda na kulazimisha kupitishwa kwa mawazo ya wachache katika serikali, vuguvugu la kudai tanganyika litaendelea kuwa political battle cry ya watanganyika mpaka litakapokuwa realized, ndiyo, mchakato wa kuidai tanganyika waweza kuwa costly hata kusababisha watu wengi kuumizwa na hata kuuawa lakini ni wazi kwamba ndoto ya kuwa na serikali ya tanganyika inastahili kulipiwa gharama za kutosha kwani ni ndoto tamu.:angry:

hii habari ya gharama za kuendesha SERKALI YA TANGANYIKA NI KICHAKA cha kujificha tu lakini kinaangaza . Hivi wao Wazanzibar wanawezaje kugharimia serkali yao serkali kiasi tanganyika iwe vigumu kuiendesha? Halmashauri na mikoa inafunguliwa gharama ziknatoka wapi? Professa alitumia muda mwingi kuzua hofu ya urejeshaji wa serkali ya tanganyika? Mbona hayo aliyokuwa anayasema hayakuwa issue kutoka serkali ya zanzibar? At least angesynthesize hoja yake kwa kutumia uzoefu wa miaka 50 ya uwepo wa serkali ya zanzibar kujenga hoja zenye mshiko kuliko kuwaingiza watu katika msitu wa kufirikika aliouanzisha bwana shivji. Kwa hili amejishushia hadhi at least ktk hili. Prof. Acha kuwaza kwa stahili ya kukaa ndani ya mawazo yaliyofungwa kwenye chupa na mwalimu nyerere
 
mimi kwangu warioba ameonesha ukomavu na kwamba hawezi kutumiwa kwa maslahi ya chama kandamizi wa demokrsia. Well done warioba. Prof issa shivji anamshambulia warioba kwamba hiyo siyo kazi aliyotumwa. Je yeye ndiye aliyeandaa hadidu za rejea (tor). Hapa naona anawasilisho matamanio ya mawazo yake. Nadhani angekuwa kikwete baada ya kutoka maoni haya angewaweka ndani warioba na wenzake pasipo hatia. Anawezaje kumhukumu warioba huyu ?
 
Back
Top Bottom