Shizya Kichuya Amlilia Mafisango

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,258
Kitendo cha Mshambulizi Shizya Kichuya cha kufunga goli na kukimbilia ilipo picha ya Mafisango si tu kimeonesha mapenzi ya dhati ya mchezaji huyo kwa Klabu yake lakini pia kuonesha jinsi alivyo na kiu ya kuigeuza mioyo ya wanamsimbazi kwamba huenda akaziba kiu yao na pia kuwaenzi wachezji waliotumika kwa mafanikio makubwa klabuni hapo na pia kimetoea tafsiri ya yeye kuvaa NAMBA 25 pia

huyu ni mmoja ya wachezaji waliojituma sana mechi ya AZAM VS SIMBA

 
Ahsante kichuya Jana Umenifurahisha


Mo ameahidi kutoa Sh milioni 10 ambayo itaongezwa na milioni 10 nyingine ambazo hutolewa na wanachama kwa kujichangisha na kufanya bonus ifike Sh milioni 20.

Fedha hizo zitakabidhiwa kwa wachezaji ikiwa watashinda pambano hilo dhidi ya Azam.

Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana jijini Dar es Salaam, lengo la kufanya hivyo ni kuongeza morali ya ushindi kwenye pambano hilo.
 
Mimi ni yanga ila huyu kichuya ni mchezaji hatari na ana kipaji

Kuliko hata mavugo

Nashindwa kuelewa kwanini haimbwi sana
 
Viongozi wetu walizembea mno kutomsajiri kipindi yupo Mtibwa angetusaidia sana winga ya kushoto.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…