Shkamoo Dokta

Shkamoo Dokta

STUNTER

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2015
Posts
13,076
Reaction score
17,247
Bi Kizee kasindikizwa na mjukuu wake wa kike
mwenye shepu ya nguvu kwenda hospitali kwa
kuwa alikuwa anaumwa wakaingia chumba cha
dokta;
MJUKUU: Habari za leo dokta, tunaumwa tumekuja
kupimwa. DOKTA: Haya ingia nyuma ya pazia, vua nguo zote
lala kwenye hicho kitanda upimwe
MJUKUU: Siumwi mimi ni bibi anaumwa
DOKTA: Dah kumbe bibi, haya bibi fungua mdomo
tuangalie kinywa.
 
Back
Top Bottom