Shocking details of mysterious owners of Kenya’s SGR firm

i'm 100% sure name like kenyatta family and the likes can never be missed in the list of the unknown local shareholders.

that family is very corrupt and greed.
 
Wakenya huwezi kuwaona kwa uzi kama huu hapa JF, wanajua ukweli kwamba nchi inaliwa na Jubilee..Lakini kuna kiburi fulani baba wa taifa la kenya (Mzee kenyatta) aliwaingiza wakenya..eti afadhali wale nyasi lakini wasikiri makosa yao mbele ya taifa lingine kama Tanzana
Ukitaka ukweli wa hisia za wakenya enda twitter
 
twitter ndio platform pekee inayowaacha uchi wa mnyama wakenya.

kule kuna wakenya vichaa hawaoni aibu wala uoga wa kueleza matatizo yote yanayowakumba wakenya.

hawa wakenya wachache wa hapa jf ni blind patriots, wanakufa kijerumani na tai zao shingoni ila cha moto wanakiona.
 
Watetezi wa mafisadi...!
 
twitter ndio platform pekee inayowaacha uchi wa mnyama wakenya.

kule kuna wakenya vichaa hawaoni aibu wala uoga wa kueleza matatizo yote yanayowakumba wakenya.
Ukweli una uma japo nidawa... Sema kweli daima... Hawa mchwa Wa Kenya ni tishio
 
Twitter ama #KOT wanavyo jiita utapata ukweli wa hisia za wakenya..Ila ukiwa Mtz hapo ujaribu kuwaambia sera zao baya kama za kuwachia watu wasio wananchi kumiliki ardhi ya kenya, ukabila, na kukosa vyama dhabiti zinazoongozwa kwa ideology wala sio zinazo milikiwa na mtu binafsi, watakukejeli wakutukane eti wewe ni msocialisti..Japo wao kila kuchao wanakimbia China (socialist) na bakuli ya omba omba
 
🤣🤣🤣🤣 bakuli la omba omba...

Tuna andaa utaratibu Wa kuuza maparachichi kenya kwa bei nzuri ili tunufaike wote...
 
Tatzo viongozi wao hawawaogopi RAIA wao yaani wakenya wangekua aggressive kwenye issue sensitive ka hizi asee hawa jamaa wangekua mbali sana sema wanalindana sijui kisa viongozi ni wa kabila lao??
Ukabila ndio tatizo kuu... Wakiacha ukabila na kuwa wamoja watasonga mbele hakika
 
Tatzo viongozi wao hawawaogopi RAIA wao yaani wakenya wangekua aggressive kwenye issue sensitive ka hizi asee hawa jamaa wangekua mbali sana sema wanalindana sijui kisa viongozi ni wa kabila lao??
Hata Inzi akiacha ujinga ipo siku atatengeneza asali...
 
kule twitter mimi huwa napelekana nao sana hawa jamaa mpaka kuna wengine wameni-block.
 
Kenya wanaishi maisha yetu ya enzi zile. Sisi na Dkt Magufuli wetu tunapeta. Enzi zile hata mikataba ilikuwa “SIRI” ila sasa tumefahamishwa Bagamoyo ilikuwa aga moyo kwelikweli maana mchina angechukua moyo wetu kwa vizazi kibao
 
Bora tuwasaidie asee maana wameingia mkataba wa kuuza parachichi na za kwao ni kidogo wananunua tz na Uganda ngoja tuwalegezee wasije wakashindwa kulipa hata wafanyakaz mishahara
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] bakuli la omba omba...

Tuna andaa utaratibu Wa kuuza maparachichi kenya kwa bei nzuri ili tunufaike wote...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…