Shoga anapokamatwa anawekwa mahabusu ipi?

Shoga anapokamatwa anawekwa mahabusu ipi?

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,730
Reaction score
9,088
Akiwekwa mahabusu ya wanaume anaenda kumegwa kizenji, akiwekwa mahabusu ya wanawake ataenda kuwapelekea moto.
Sasa huwa wanawekwa wapi?
 
CCM imehalalisha ushoga,
rejea kauli ya Kangi Lugola.
Ni lazima Polisi wabadilishe structure ya seli zao
Kangi hawezi kuhararisha ushoga wakati katiba yetu inapinga swala Hilo, by the way polisi na structure yake sio katiba ya nchi, kubadili structure sio katiba, Tena nyongeza alisema Hana taarifa Kama Kuna mashoga wanasumbuliwa na Kama wapo basi wakaripoti kituoni kuwa wanasumbuliwa, kwaakili ya kawaida unafikili Hapo anatetea au anawaingiza mtegoni?! Aende akaripoti ataludi huyo??
 
Kangi hawezi kuhararisha ushoga wakati katiba yetu inapinga swala Hilo, by the way polisi na structure yake sio katiba ya nchi, kubadili structure sio katiba, Tena nyongeza alisema Hana taarifa Kama Kuna mashoga wanasumbuliwa na Kama wapo basi wakaripoti kituoni kuwa wanasumbuliwa, kwaakili ya kawaida unafikili Hapo anatetea au anawaingiza mtegoni?! Aende akaripoti ataludi huyo??
WEWE UNAJUA NINI KUHUSU KATIBA BWANA??

ETI KATIBA HAIRUHUSU HILO?

NYIE LAYMEN MUWE MNAOMBA USAIDIZI WA KISHERIA SIO KUROPOKA HOVYO.
 
Hili swali Paul makonda atarijibu vizuri sana
 
Shoga tu duniani ndiyo ana haki ya kuchagua gereza, ili mradi tu ajitambulishe ila wengi wao wanapenda kwa wanaume! wakamegwe
 
Hii serikali ya kihuni na kitapeli haijawahi kukamata hata shoga mmoja eti wanajifanya kupinga ushoga mbwa kabisa haya maccm
 
Back
Top Bottom