Matatizo na raha zako tatua au share na mwenzako, na hii ni kwa wanawake na wanaume. Kwa upande mmoja, kumbuka kuwa kama utamweleza rafiki au shoga yako matatizo ya mwenzako, yeye anaweza kukuona wa ovyo, hujui kuhandle mambo na yeye kujiona staring, akafanya lile linalokushinda.
Kwa upande mwengine, kumweleza shoga yako (mara nyengine hata baadhi ya wanaume kwa marafiki zao) uzuri na utundu wa mwenzako kwenye 6x6 ndio kabisa unampa mwanya wa kwenda kujionea mwenyewe.
All in all, kama raha faidi na usimwambie mtu, kama matatizo yatatueni baina yenu au shirikisheni wazazi/walezi wenu but never to outsider hata iwe kwa sheikh au mchungaji.