SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Kama umefuatilia uchezaji wa Shomary Kapombe toka amepona majeraha yake amekuwa anacheza kwa kiwango kikubwa na kujituma kuliko mchezaji yoyote pale Simba.
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri, ni kama game moja tu ndiyo kidogo alikuwa na changamoto uwanjani.
Kama kuna mchezaji wa Simba alistahili udhamini kama ule wa CRDB basi ni Shomary Kapombe.
Kama kumbukumbu zangu ziko vizuri, ni kama game moja tu ndiyo kidogo alikuwa na changamoto uwanjani.
Kama kuna mchezaji wa Simba alistahili udhamini kama ule wa CRDB basi ni Shomary Kapombe.