Washapona hawa Vyura basi bora Gormahia kashaelekea kibra, angekuwa stable angewabania ili atuzidi point wasishiriki, maana droo yetu wameshangilia Yanga km wamechukua uefaKweli kabisa. Amekubali kupigwa 2 bila nairobi, huko ugenini atakufa nyingi akijitahidi sare.
Sent using Jamii Forums mobile app