Shopping yako ya mavazi unaifanyia wapi?

Shopping yako ya mavazi unaifanyia wapi?

Lateni

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2012
Posts
676
Reaction score
335
Hey,

Naomba leo tujuzane ni mahali gani hua unanunulia mavazi yako, yani nguo za aina zote, viatu, n.k , ki ukweli nikiwa ninataka kutoka jambo linaloniumiza kichwa ni mavazi ya kuvaa, especially nikiwa na party ya usiku. Kina dada naombeni mnijuze mahali mnapopata viwalo vyenu hasa vya usiku. Wakina kaka nao wanaweza wakafunguka kwa faida ya wakaka wanaotaka kujua maduka mbalimbali ya mavazi yao. Sema ni duka gani na mahali lilipo.

Thanks
 
Nenda mwenge. Ila mi nashida na poda nzuri au foundation na shida nazo sana ila iwe original nijuzeni pakupatia jamn. Na contact kama itawezekana.


Zamani shear illusion mlimani city walikua wana foundation nzuri sijui kwa sasa, ngoja tusikie kwa wadau.
 
Zamani shear illusion mlimani city walikua wana foundation nzuri sijui kwa sasa, ngoja tusikie kwa wadau.

Afu wewe mdada Lateni ulikuwa wapi sikuzote? Nilikutafuta sana ujue!
 
Last edited by a moderator:
Nenda mwenge. Ila mi nashida na poda nzuri au foundation na shida nazo sana ila diwe original nijuzeni pakupatia jamn. Na contact kama itawezekana.
get mac powder au faundation.
Usinunue kwenye maduka ya vipodoz around kama mwenge kariakoo ambapo utapata iyo product for 5000.10000.no. Nenda kwenye big supermarket utazikuta. Zikiwa sild kabsaa.original for only 70000. 80000. Hata 60000. Inategemea. Na ni nzuri for deliket skin. kwan ni origina hazina mazara
 
Wengine kwa hapa Tiizedi hatuna uwenyeji, labda ungeulizia kwa Bara Uropa !
 
Back
Top Bottom