- Nguo na viatu kwa bongo ni kariakoo japo ukienda na mapozi vibaka watakuibia kila kitu;
- Mwenge kuna nguo za mitumba kwa wingi na ni nzuri pia.
- Kinondoni kuna nguo na viatu vya mitumba na madukani ni vizuri sana ila bei yake ni lazima uwe umejipanga
eeeh umesahau croconi kwa wakali waoMie pamba zangu napatia tengeru,mbauda na ngaramtoni over.
Mungu wangu!!!!!
Usitaje jina la Mungu wako bure
tumpe Asprin
Asprin ni antiCoagulant bwana hatuliz kichwa kabisa
naomba unisaidie nimpe dawa gani huyu babu
eeeh umesahau croconi kwa wakali wao
I BUY ANYWHERE as long as nguo au viatu nimependa,inantosha,ina quality nzuri na pesa nnayo,...kariakoo panasumbua sana kutafuta nguo, nyingi dar combine kila mtu anazo chache ndo unique,walau kwenye boutiques,karume na mwenge ile mitumba wanayotundika ni mizuri and unique ukibahatisha,Mr.Price wana vitu vizuri pia,sio vya kukuta wengi wamevaa,makumbusho am told kuna viatu vizuri sijawahi enda lakini
Makumbusho kuna viatu vizuri ila bei zao wallah daaaah..................
mie kariakoo naonaga kuna vile vitu ambavyo ukivaa ukikatiza mita 2 unakutana na mwenzio amevaa
Sio lango moja?
hvo eeh,will go smtime nkaone,
kkoo ni balaaa my dr...na hizi chiffon type sikuhizi zimejaa hadi kero,bora ht ushone kitenge tu
Saiv niko Dar nafanyia Mwenye, nikifika kule ndio naenda mlango mmoja!!!