Wakudadavuwa
JF-Expert Member
- Feb 17, 2016
- 17,506
- 16,003
Mambo sio mazuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesahau Uchumi na Deacon pia!woooi huku Tanzani wali-quit kitambo
Nakumat nao Tz walikimbia kitambo mnoo
yees bado shoppers soon na wao watatukimbia hapa Tz.Umesahau Uchumi na Deacon pia!
Kwani shoppers si ya Mtanzania?yees bado shoppers soon na wao watatukimbia hapa Tz.
Hao uliotaja hata Kenya pia walifilisika na kufunga biashara zao.yees bado shoppers soon na wao watatukimbia hapa Tz.
woooi huku Tanzani wali-quit kitambo
Nakumat nao Tz walikimbia kitambo mnoo
ana mimba ya kula sabuni huyo atakusumbua[emoji38][emoji38]Kenya nako kuna udikteta?
Ohh masikini mataga.Kenya nako kuna udikteta?
Ohh masikini mataga.Kenya nako kuna udikteta?
Sasa mataga wanasherekea nini?Hao uliotaja hata Kenya pia walifilisika na kufunga biashara zao.
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Walipifunga na kuondoka Tanzania,wakunya walisema kwasababu Tanzania kuna udikteta [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa mataga wanasherekea nini?
Sijawahi sikia iyo mbonaWalipifunga na kuondoka Tanzania,wakunya walisema kwasababu Tanzania kuna udikteta [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
Kenya wamekimbia zaidi ya 10 ndani ya miaka mi3yees bado shoppers soon na wao watatukimbia hapa Tz.
Kwa hiyo mataga ndiyo wanasherekea ?Kenya wamekimbia zaidi ya 10 ndani ya miaka mi3
Lema mwenyewe kapaona pa kiboya mpaka akaomba uhamishoni Canada fastaKwa hiyo mataga ndiyo wanasherekea ?
Alafu baada ya hapo?Lema mwenyewe kapaona pa kiboya mpaka akaomba uhamishoni Canada fasta
Anabeba box na familia yake yoteAlafu baada ya hapo?
Alafu?Anabeba box na familia yake yote