Short Cervix

afate ushauri wa daktari! apumzike kabisa..muda mwingi atumie kulala ili kufanya mwili na maumbile yake kurudia hali ya kawaida! au kurefusha hyo cervix! APUMZIKE ASIFANYE CHOCHOTE KWA MUDA HUU ULIOBAKIA
 
Jaman ishu kama hizi muulize hukohuko hospitali face to face na daktari wake,mimba siyo kitu cha kuzembeazembea oohoooo shauri zenu
Asante mkuu,
kuna maswali mengine yanarise wakati haupo na dactari hivyo inatulazimu kuuliza kwa wenye ujuz wa mambo hayo anayeweza kupatikana muda huo
 
afate ushauri wa daktari! apumzike kabisa..muda mwingi atumie kulala ili kufanya mwili na maumbile yake kurudia hali ya kawaida! au kurefusha hyo cervix! APUMZIKE ASIFANYE CHOCHOTE KWA MUDA HUU ULIOBAKIA
Thx. tunajitahidi sana apumzike. vipi kuhusu mtoto kuchezea chini? una uelewa wowote?
 
From your writing sequency,i conclude you are the one and not mudogo yako.Pole.
 
Thx. tunajitahidi sana apumzike. vipi kuhusu mtoto kuchezea chini? una uelewa wowote?
kwa hyo miez sita mtoto hatakiwi kuchezea chini sana..maana muda huo mtoto anakuwa bado hajafikia kuzaliwa kwa ile miez 9 ya kawaida.Kwa maelezo ya dr njia imefunguka kwa maana hyo basi mtoto yuko tayari kutoka japo muda haujafika...kuna uwezekano mkubwa wa kujifungua mtoto pre~mature....Tiba muhimu kwa sasa,tunahitaji mama mjamzito APUMZIKE VYA KUTOSHA ili angalau mimba ifike miez saba
 
Mie si mtaalamu wa mambo ya cervix, ila mdogo wako anatakiwa apewe bed rest 24/7 asifanye shughuli yoyote ile mpaka ajifungue. Yeye na kitanda, kitanda na yeye ili kumnusuru yeye na kiumbe mtarajiwa. Madaktari wengine huamua kumlaza mama mtarajiwa muda wote uliobakia ili kupunguza purukushani za nyumbani hivyo kuhakikisha yuko kitandani kwa muda wote anaotakiwa awe kitandani.

 
ok thx..
 
Asante mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…