Geok
Senior Member
- Sep 24, 2021
- 164
- 420
Wadau habarini!!!
Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti zangu binafsi kwa vyuo wanavyotoa hizi short course, na nime-decide nipige ATC coz nipo chuga kwa sasa. But ukakasi naupata kwenye kufanya chaguzi sahihi la short course ya kusoma ambayo ina impact kubwa kwenye hii teknolojia ya sasa inayokua. Hivyo nahitaji maoni yenu wadau ambao mpo kwa hii department ya ICT na wadau wote mnaoielewa sana hii ICT.
Short course zilizopo ATC ni hizi:👇
Niende moja kwa moja kwenye title. Nina mpango wa kusoma short course inayohusiana na mambo ya ICT, ili nije nijiajiri kutokana na huo ujuzi nitakaoupata. Nimeshafanya tafiti zangu binafsi kwa vyuo wanavyotoa hizi short course, na nime-decide nipige ATC coz nipo chuga kwa sasa. But ukakasi naupata kwenye kufanya chaguzi sahihi la short course ya kusoma ambayo ina impact kubwa kwenye hii teknolojia ya sasa inayokua. Hivyo nahitaji maoni yenu wadau ambao mpo kwa hii department ya ICT na wadau wote mnaoielewa sana hii ICT.
Short course zilizopo ATC ni hizi:👇