uuuuuuuuuuuwiiiiiiii! mi naamini bado hawajaita kwani kama wameita kinyemela chozi langu litaweza kuilaani tume hii na haitachukua time itavunjwa, ni heri waite wazi nami nisiwepo kuliko kuita secret halafu mi cpo. kitanuka na............ duuh! hebu semeni kweli wameita au tunataniana?
Jamani mwenye taarifa,juu ya short list kwa walio fanya application za afisa tarafa na WEO :baby:since may up to date.
Tukimaliza bajeti za serikali tunawaita msiwe na hofu vijana, hatuwezi kuajiri bila kuwa na pesa
Iam trying to respect codes of conduct that Iam abide with.